Elimu na nadharia ya muziki

Mkuu Ahsante kwa somo zuri..
Mimi nina shida moja. I'm a man na hua naimba kanisani lakini sauti yangu naona inafaa kuimba Alto..ila imebidi niimbe bass. Je hivi kwanini Soprano na alto waimbe wanawake tu.? Mimi napenda alto zaidi
Hiyo inatokana na maumbile ya miili kati ya wanaume na wanawake. Binadamu wote wanatoa sauti zao kwa kutoka kwenye vocal tract, yaani koromeo. ambayo kwa watoto wadogo ni fupi sana ndiyo maana wanakuwa na sauti za juu zaidi. Kwa watu wazima, wanaume wana vocal tract zenye urefu wa kama cm 17 wakati za wanawaek zina urefu wa kama cm 14 tu. Karibu na mwishoni mwa vocal tract, kuna misuri ijulikanayo kama vocal chords; misuli hii inapocheza cheza (vibrate) ndiyo hutoa sauti. Sauti inayiskika kutoka kinywani mwa mwimbaji inategema sana na urefu wa vocal tracts zake, ulaini wa wa vocal chords zake, na vile vile kipenyo cha vocal chords zake. Sasa wanawake maumbile yao yana vocal chords laini, zenye kipenyo kidogo na vile vile vocal tracts zao ni fupi. Hivyo kiasili sauti zao zinakuwa na pitch ya juu zaidi kuliko wanaume.

Maelezo hayo unaweza kuyatafrisi kivitendo kwa kuangalia muundo wa aina mbali,mbali za saxophones. Bass saxophone inatumia reed (vocal chords) ngumu, na saut inasafiri umbali (vocal tract) mrefu kutoka kwenye reed hadi kwenye kinywa cha saxophone hiyo ukilinganisha na Soprano saxophone.
1577214533725.png
 
Hiyo inatokana na maumbile ya miili kati ya wanaume na wanawake. Binadamu wote wanatoa sauti zao kwa kutoka kwenye vocal tract, yaani koromeo. ambayo kwa watoto wadogo ni fupi sana ndiyo maana wanakuwa na sauti za juu zaidi. Kwa watu wazima, wanaume wana vocal tract zenye urefu wa kama cm 17 wakati za wanawaek zina urefu wa kama cm 14 tu. Karibu na mwishoni mwa vocal tract, kuna misuri ijulikanayo kama vocal chords; misuli hii inapocheza cheza (vibrate) ndiyo hutoa sauti. Sauti inayiskika kutoka kinywani mwa mwimbaji inategema sana na urefu wa vocal tracts zake, ulaini wa wa vocal chords zake, na vile vile kipenyo cha vocal chords zake. Sasa wanawake maumbile yao yana vocal chords laini, zenye kipenyo kidogo na vile vile vocal tracts zao ni fupi. Hivyo kiasili sauti zao zinakuwa na pitch ya juu zaidi kuliko wanaume.

Maelezo hayo unaweza kuyatafrisi kivitendo kwa kuangalia muundo wa aina mbali,mbali za saxophones. Bass saxophone inatumia reed (vocal chords) ngumu, na saut inasafiri umbali (vocal tract) mrefu kutoka kwenye reed hadi kwenye kinywa cha saxophone hiyo ukilinganisha na Soprano saxophone.
View attachment 1302763
Mzee wangu hongeraa sana.. Je kwanini mtu anayejua piano/kinanda cha kanisani ni rahisi kujua muziki wa nota (kusoma na kufundisha) lakini mtu anayejua muziki ni ngumu kuweza kupiga piano?
 
Mkuu heri ya mwaka mpya,,,, umetuacha mno, pole na majukumu, natumai tutaendelea
Hiyo inatokana na maumbile ya miili kati ya wanaume na wanawake. Binadamu wote wanatoa sauti zao kwa kutoka kwenye vocal tract, yaani koromeo. ambayo kwa watoto wadogo ni fupi sana ndiyo maana wanakuwa na sauti za juu zaidi. Kwa watu wazima, wanaume wana vocal tract zenye urefu wa kama cm 17 wakati za wanawaek zina urefu wa kama cm 14 tu. Karibu na mwishoni mwa vocal tract, kuna misuri ijulikanayo kama vocal chords; misuli hii inapocheza cheza (vibrate) ndiyo hutoa sauti. Sauti inayiskika kutoka kinywani mwa mwimbaji inategema sana na urefu wa vocal tracts zake, ulaini wa wa vocal chords zake, na vile vile kipenyo cha vocal chords zake. Sasa wanawake maumbile yao yana vocal chords laini, zenye kipenyo kidogo na vile vile vocal tracts zao ni fupi. Hivyo kiasili sauti zao zinakuwa na pitch ya juu zaidi kuliko wanaume.

Maelezo hayo unaweza kuyatafrisi kivitendo kwa kuangalia muundo wa aina mbali,mbali za saxophones. Bass saxophone inatumia reed (vocal chords) ngumu, na saut inasafiri umbali (vocal tract) mrefu kutoka kwenye reed hadi kwenye kinywa cha saxophone hiyo ukilinganisha na Soprano saxophone.
View attachment 1302763

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wangu hongeraa sana.. Je kwanini mtu anayejua piano/kinanda cha kanisani ni rahisi kujua muziki wa nota (kusoma na kufundisha) lakini mtu anayejua muziki ni ngumu kuweza kupiga piano?
Swali lako halieleweki unapotenganisha mtu anyejua piano/kinanda na mtu anayejua muziki.

Muziki wowote ni mchanganyiko wa sauti kwa miundo mbalimbali. Mchanganyiko huo huandikwa kwa kutumia noti za Muziki ambazo nilitambulisha huko nyuma. Kwa mwanamzuki yoyote anatakiwa ajue hizo noti. Ila kuna wanamuziki ambao hukariri sauti na mashairi yao tu hawawezi kusoma nyimbo za watu wengine kwa sababu hawajui kusoma noti. Kama hujui kusoma noti, hata kama una kipaji kikubwa, utakuwa na mapungufu fulani katika muziki wako. Angalia kuwa wimbo wa We are the World ulitolewa mwaka 1985, washiriki wote walipewa noti za wimbo na kupata kama muda mfupi tu wa kufanya maandalizi kabla ya kuirekodi; nadhani unawaona wanasoma noti hizo.



Nitakuwa active tena hapa baada ya shughuli za kipindi cha majira ya baridi kuisha. mada hii huwa inanichukua muda ili kuiweka sawa kwa kutafuta mifano sahihi ndiyo maana sikupenda kuiendeleza kwa harakaharaka bila kuwa na mifano hiyo.
 
nafurahi kukusoma Tena mwalimu wangu
Swali lako halieleweki unapotenganisha mtu anyejua piano/kinanda na mtu anayejua muziki.

Muziki wowote ni mchanganyiko wa sauti kwa miundo mbalimbali. Mchanganyiko huo huandikwa kwa kutumia noti za Muziki ambazo nilitambulisha huko nyuma. Kwa mwanamzuki yoyote anatakiwa ajue hizo noti. Ila kuna wanamuziki ambao hukariri sauti na mashairi yao tu hawawezi kusoma nyimbo za watu wengine kwa sababu hawajui kusoma noti. Kama hujui kusoma noti, hata kama una kipaji kikubwa, utakuwa na mapungufu fulani katika muziki wako. Angalia kuwa wimbo wa We are the World ulitolewa mwaka 1985, washiriki wote walipewa noti za wimbo na kupata kama muda mfupi tu wa kufanya maandalizi kabla ya kuirekodi; nadhani unawaona wanasoma noti hizo.



Nitakuwa active tena hapa baada ya shughuli za kipindi cha majira ya baridi kuisha. mada hii huwa inanichukua muda ili kuiweka sawa kwa kutafuta mifano sahihi ndiyo maana sikupenda kuiendeleza kwa harakaharaka bila kuwa na mifano hiyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom