kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
da nimecheka sana we jamaa ila swali zuri sana au nasema uongo ndugu zanguuuuuAina gani ya ndege ya ATCL inakwenda Chato?
da nimecheka sana we jamaa ila swali zuri sana au nasema uongo ndugu zanguuuuuAina gani ya ndege ya ATCL inakwenda Chato?
Bonheur Travels Tanzania ni Kampuni ya Wakala wa Safari (Travel Agency) yenye makao makuu yake nchini Tanzania.Bonheur travel Tanzania ni nini?
Wananikera kufika eapot mapema, ndege inaondoka saa tisa wananambia nifike saa nane, pili kwa uwanja wa zamani kwa hapa kwetu wanakagua mara mbili (temino 2) ila kule mbeya nilikaguliwa mara moja tuMnaweza kuendelea kuuliza maswali na kuomba ufafanuzi wa masuala yote yahusuyo safari za ndege.
PM iko wazi pia kwa watakaotaka kuuliza maswali yao pembeni.
Karibuni.
Hii barafu ingemfaa sanaUnaelezea vipi usalama wa ndege hasa zile za masafa marefu kuvuka bahari.
Huwez kuweka kila chakula wewe. Unaweza kujamba ukaharibu safar nzima. Kuna mekanizim flan inatumika nafikir hata ukijamba vile vyakula vyao havinuki.Ameuliza swali zuri. Watu wengi huhoji kwanini baadhi ya vyakula havipewi nafasi kwenye usafiri wa anga? Ni swali halali.
Ni matumaini yetu, mashirika ya ndege na mamlaka husika zitaangalia namna ya kuongeza orodha ya machaguo ya vyakula ili kuwe na machaguo ya kutosha kwa kila kundi la watu.
Kwa Shirika la Ndege #AirTanzania, vyakula vinavyoliwa kwa wingi na watanzania ni sehemu ya utamaduni. Wanaweza kuchukua na kulifanyia kazi hili la Makande na Ugali baada ya kujiridhisha kama lina uhitaji mkubwa.
Asante.
Vitu gani vinahitajika ili MTU aweze kupanda ndege kwa safari za ndani ya nchi
Vitu gani vinahitajika ili MTU aweze kupanda ndege kwa safari za nje ya nchi
Kwa nini wakati wa ukaguzi kabla ya kuboard huwa wanakataza vitu vya vimiminika kama vile maji, dawa ya mswaki, perfume, lotion mtu asiingie navyo kwenye mizigo anayo board NATO ndani ya ndege? Kwani vitaleta shida gani?
Bonheur Travels Tanzania
Kwa safari za ndani ya nchi hutakiwi kuwa na Visa. Kitambulisho ni kwa sababu za kiusalama tu. Unatakiwa utambulike wewe ni nani na unaenda wapi kufanya nini.Nikiwa mwanza na nataka kwenda arusha ni lazima niwe na visa? Kwanini ukisafiri kwa ndege wanadai kitambulisho chochote
Wananikera kufika eapot mapema, ndege inaondoka saa tisa wananambia nifike saa nane, pili kwa uwanja wa zamani kwa hapa kwetu wanakagua mara mbili (temino 2) ila kule mbeya nilikaguliwa mara moja tu
Dr, hii ilianza baada ya tukio la September 11, kuna vijana aligundulika wanasafiri na mabomu ya vimiminika na nia yao ilikua kulipua ndege inayotoka au inayokwenda Marekani ikiwa na idadi ya Wamarekani kadhaa.Kwa nini wakati wa ukaguzi kabla ya kuboard huwa wanakataza vitu vya vimiminika kama vile maji, dawa ya mswaki, perfume, lotion mtu asiingie navyo kwenye mizigo anayo board NATO ndani ya ndege? Kwani vitaleta shida gani?
Bonheur Travels Tanzania
Maswali yangu hayo hapo chini sijui kama umeyaona
1.He,ninaruhusiwa kuingia na kondom ndani ya ndege ya abiria
2.Je, naruhusiwa kuoga nikiwa ndani ya ndege ya abiria
Halafu hivi marubani huwa hawajisaidii haja ama huwa wanavaa pampas
Duuhhh.....!!! Interesting aisee, I never knew about this!Dr, hii ilianza baada ya tukio la September 11, kuna vijana aligundulika wanasafiri na mabomu ya vimiminika na nia yao ilikua kulipua ndege inayotoka au inayokwenda Marekani ikiwa na idadi ya Wamarekani kadhaa.
FBI walipata hiyo tip na kuanza kukagua mizigo yote ya hand luggage inayoingia na kutoka na habari zilienea katika msako ulianza katika airport zote duniani.
Wale vijana walikamatwa, na kweli katika mizigo yao ya safari walikua na visu vibiriti na chemikali zinazolipuka. Walitaka kufanya tukio kama la September 11.
Duuhhh.....!!! Interesting aisee, I never knew about this!
Shukrani sana.
jinsi ya kupata visaMnaweza kuendelea kuuliza maswali na kuomba ufafanuzi wa masuala yote yahusuyo safari za ndege.
PM iko wazi pia kwa watakaotaka kuuliza maswali yao pembeni.
Karibuni.