Mwadui
Senior Member
- Dec 17, 2010
- 102
- 2
Serikali ya tanzania inampango wa kuanzisha kutoa elimu ya juu kwa njia ya mtandao ili kulabilian na tayizo la wahadhiri. Proffesa Wilbard Abeli Mkurugenzi wa Elimu ya juu Tanzania amesema hili leo mnazi mmoja kwenye maonyesho ya WIzara ya Elimu. wadau mnaonaje huo mfumo uitafanikiwa?