Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Habari za mchana
TAMISEMI,ni taasisi yakiserikali ambayo inasimamia mambo mengi mojawapo likiwa ni elimu.Kabla ya,sekta ya elimu kuingizwa TAMISEMI,wataalamu walishauri elimu isiingizwe.Tulioko kwenye elimu,kunamatatizo ambayo yanashindwa kutatuliwa wilayani mfano-
. walimu kuchelewa kupandishwa madaraja
.Walimu tunafanya kazi hatuna vitambulisho vya kazi
Haya ni baadhi,lakini inasikitisha elimu kuwa na changamoto ndogo kiasi hicho,hebu tusaidieni kututatulia matatizo tupandishwe madaraja kwawakati.
TAMISEMI,ni taasisi yakiserikali ambayo inasimamia mambo mengi mojawapo likiwa ni elimu.Kabla ya,sekta ya elimu kuingizwa TAMISEMI,wataalamu walishauri elimu isiingizwe.Tulioko kwenye elimu,kunamatatizo ambayo yanashindwa kutatuliwa wilayani mfano-
. walimu kuchelewa kupandishwa madaraja
.Walimu tunafanya kazi hatuna vitambulisho vya kazi
Haya ni baadhi,lakini inasikitisha elimu kuwa na changamoto ndogo kiasi hicho,hebu tusaidieni kututatulia matatizo tupandishwe madaraja kwawakati.