ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,591
- 89,861
Habarini wapendwa,
Nina maswali kuhusu huu ugonjwa uwapatao wanawake wajawazito, kifafa cha mimba:
1. Ni nini chanzo cha ugonjwa huu?
2. Zipi dalili za huu ugonjwa?
3. Je, inawezekana kuwa nao na bado ukaendelea kulea mimba na kujifungua bila tatizo lolote?
I just lost my baby today, I was so dejected nilipoambiwa my wife had "kifafa cha mimba" and there's no way to keep the baby-to-be, just a month to go azaliwe. Imeniuma coz sikujua kuhusu huu ugonjwa.
Nina maswali kuhusu huu ugonjwa uwapatao wanawake wajawazito, kifafa cha mimba:
1. Ni nini chanzo cha ugonjwa huu?
2. Zipi dalili za huu ugonjwa?
3. Je, inawezekana kuwa nao na bado ukaendelea kulea mimba na kujifungua bila tatizo lolote?
I just lost my baby today, I was so dejected nilipoambiwa my wife had "kifafa cha mimba" and there's no way to keep the baby-to-be, just a month to go azaliwe. Imeniuma coz sikujua kuhusu huu ugonjwa.