C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Wakuu habari zenu
katika uwanja wa biashara sasa hivi kumekuwepo na wingi wa makampuni makubwa duniani katikan kila sekta, tukianza sekta ya Habari, Teknolojia, Media, Fedha, Afya na Madawa n.k
na katika sekta hizo kumekuwa na makampuni mengi sana ambayo kwa namna moja au nyingine yamefanikiwa sana na hata kufikia kiwango cha kuteneneza 100 mill $ mpaka 1 bill $.
Lakini ukianza kufuatilia kwa karibu kuwa hayo makampuni yamewezaje kufikia hapo walipo utagundua kuwa wale founders kama founders wao wenyewe sio walioifanya biashara zao siwe successful kulikuwa kuna wataalamu wamewaajiri, walikuwa na vifaa ambavyo ni advance (servers za facebook, yahoo e.t.c), swali la kujiuliza ni kuwa walipataje mtaji mkubwa kama huo??
asilimia kubwa ya watanzania wanafikiri kuwa kuanzisha kampuni kubwa ni kitu ambacho ni ndoto na ni wazungu pekee ndio wanaweza na watu wenye pesa zao lakini wamesahau kuwa hata wazungu wanaowaona ni matajiri walikuwa ni watu wa kawaida tu ila hawakuogopa kwenye kufanya biashara .
Tuje kwenye suala la mitaji
kwa wenzetu wana makampuni ambayo wanalenga kuwekeza kwenye projects mbali mbali sio kama huku bongo mtu wenye idea ndio wanatafuta investors au mikopo bank wenzetu ma investors ndio wanatafuta watu wenye ideas
makampuni kama Austin Ventures Austin Ventures ni watu ambao wanaonekana kabisa wao ni watu wanaotafuta watu wenye idea na kuinvest japokuwa hiyo ni kampuni inayotaka kuinvest USA tu bado hawjaanza kuinvest worldwide ila kuna wengine kama eVentures wao wana invest worldwide
Wazo Langu
wazo langu kwa kuwa nina imani na watanzania wenzangu kuwa ni watu wenye ideas ila wengi wao wanafichwa au kukatishwa tamaa au kuzungushwa na Ma BENKI ha ya hapa kwetu wanapoenda kuomba mikopo au kupewa riba za juu na kwa kipindi kifupi au watu wenye fedha zao ambao wamekuwa wakifuatwa na vijana wadogo kwa lengo la wao kuweka fedha zao kwenye biashara hizi
na watu wenyewe watu wenye fedha zao (individual) ni kuwa either ni watu wasioingilika kirahisi yaani si rahisi kwa mtu huyo kukutana na kijana mdogo aliyemaliza chuo kikuu leo kukutana na mtu kama Rostam, Mengi, Bakhresa, au watu hao wenye fedha chafu maana ukisikia mradi fulani utasikia ni wa flani (mkubwa wa serikali) ambaye watu watadai kuwa kawekeza pesa chafu pale
hivyo kumewafanya vijana hao kuanza biashara kwa kuunga unga , kwa mtaji midogo au kukimbialia kwenye soko la ajira kwa lengo la kuzicanga CAPITAL
kwanini vijana wadogo wanaomaliza shule wasianze kwa kuandaa proposal , kutulia na kuanza kuandika business plan na KUTUMA PROPOSAL ZAO KWA MAKAMPUNI YA NJE ? yanayoplan ku invest worldwide....??
kuna makampuni kibao ya INVESTMENTS wanataka kuinvest africa Tanzania ikiwa ni sehemu moja wapo.... Tanzania ni nchi ambayo inaendelea hivyo basi kuna opportunity nyingi sana ambazo vijana wa leo wanatakiwa waamke wazichangamkie
kuna opportunity nyingi sana bado hazijakamatwa vizuri ila nikiangalia kwa makini naona kuna billion dollars ila watu hajaamka wanasubiri serikali iwafanyie kila kitu please guys lets wake up....
Elimu ninayotaka kueleweshwa
-je kuna sheria yeyote kuhusu uwekezaji hapa nchini??
-kama mtu una proposal yako na umeongea na kampuni kubwa ya nje a uwekezaji iliyokubali kukupa pesa ya kufanya hiyo project je kuna gawio lolote ambalo serikali inabidi ipate??
-je kuna security yeyote ambayo napata mimi mradi wangu usiporwe na serikali akapewa mtu mwingine ili waweze kugawana huyo third party na serikali fedha za mwekezaji huyo (rejea kesi ya sugu na ruge)
Sekta ambazo zitavutia wawekezaji
-Kilimo
-Madini
-Uzalishaji
-Utalii
-Usafirishaji wa Anga
-Habari na Media
-Filamu
-Muziki
Natanguliza shukrani...
katika uwanja wa biashara sasa hivi kumekuwepo na wingi wa makampuni makubwa duniani katikan kila sekta, tukianza sekta ya Habari, Teknolojia, Media, Fedha, Afya na Madawa n.k
na katika sekta hizo kumekuwa na makampuni mengi sana ambayo kwa namna moja au nyingine yamefanikiwa sana na hata kufikia kiwango cha kuteneneza 100 mill $ mpaka 1 bill $.
Lakini ukianza kufuatilia kwa karibu kuwa hayo makampuni yamewezaje kufikia hapo walipo utagundua kuwa wale founders kama founders wao wenyewe sio walioifanya biashara zao siwe successful kulikuwa kuna wataalamu wamewaajiri, walikuwa na vifaa ambavyo ni advance (servers za facebook, yahoo e.t.c), swali la kujiuliza ni kuwa walipataje mtaji mkubwa kama huo??
asilimia kubwa ya watanzania wanafikiri kuwa kuanzisha kampuni kubwa ni kitu ambacho ni ndoto na ni wazungu pekee ndio wanaweza na watu wenye pesa zao lakini wamesahau kuwa hata wazungu wanaowaona ni matajiri walikuwa ni watu wa kawaida tu ila hawakuogopa kwenye kufanya biashara .
Tuje kwenye suala la mitaji
kwa wenzetu wana makampuni ambayo wanalenga kuwekeza kwenye projects mbali mbali sio kama huku bongo mtu wenye idea ndio wanatafuta investors au mikopo bank wenzetu ma investors ndio wanatafuta watu wenye ideas
makampuni kama Austin Ventures Austin Ventures ni watu ambao wanaonekana kabisa wao ni watu wanaotafuta watu wenye idea na kuinvest japokuwa hiyo ni kampuni inayotaka kuinvest USA tu bado hawjaanza kuinvest worldwide ila kuna wengine kama eVentures wao wana invest worldwide
Wazo Langu
wazo langu kwa kuwa nina imani na watanzania wenzangu kuwa ni watu wenye ideas ila wengi wao wanafichwa au kukatishwa tamaa au kuzungushwa na Ma BENKI ha ya hapa kwetu wanapoenda kuomba mikopo au kupewa riba za juu na kwa kipindi kifupi au watu wenye fedha zao ambao wamekuwa wakifuatwa na vijana wadogo kwa lengo la wao kuweka fedha zao kwenye biashara hizi
na watu wenyewe watu wenye fedha zao (individual) ni kuwa either ni watu wasioingilika kirahisi yaani si rahisi kwa mtu huyo kukutana na kijana mdogo aliyemaliza chuo kikuu leo kukutana na mtu kama Rostam, Mengi, Bakhresa, au watu hao wenye fedha chafu maana ukisikia mradi fulani utasikia ni wa flani (mkubwa wa serikali) ambaye watu watadai kuwa kawekeza pesa chafu pale
hivyo kumewafanya vijana hao kuanza biashara kwa kuunga unga , kwa mtaji midogo au kukimbialia kwenye soko la ajira kwa lengo la kuzicanga CAPITAL
kwanini vijana wadogo wanaomaliza shule wasianze kwa kuandaa proposal , kutulia na kuanza kuandika business plan na KUTUMA PROPOSAL ZAO KWA MAKAMPUNI YA NJE ? yanayoplan ku invest worldwide....??
kuna makampuni kibao ya INVESTMENTS wanataka kuinvest africa Tanzania ikiwa ni sehemu moja wapo.... Tanzania ni nchi ambayo inaendelea hivyo basi kuna opportunity nyingi sana ambazo vijana wa leo wanatakiwa waamke wazichangamkie
kuna opportunity nyingi sana bado hazijakamatwa vizuri ila nikiangalia kwa makini naona kuna billion dollars ila watu hajaamka wanasubiri serikali iwafanyie kila kitu please guys lets wake up....
Elimu ninayotaka kueleweshwa
-je kuna sheria yeyote kuhusu uwekezaji hapa nchini??
-kama mtu una proposal yako na umeongea na kampuni kubwa ya nje a uwekezaji iliyokubali kukupa pesa ya kufanya hiyo project je kuna gawio lolote ambalo serikali inabidi ipate??
-je kuna security yeyote ambayo napata mimi mradi wangu usiporwe na serikali akapewa mtu mwingine ili waweze kugawana huyo third party na serikali fedha za mwekezaji huyo (rejea kesi ya sugu na ruge)
Sekta ambazo zitavutia wawekezaji
-Kilimo
-Madini
-Uzalishaji
-Utalii
-Usafirishaji wa Anga
-Habari na Media
-Filamu
-Muziki
Natanguliza shukrani...