Hyungnim
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 301
- 482
Kati ya kyela au mwakaleli....maana mimi mwenyewe mjanga
kwi lisu ipimba maana yake kwenye nyasi fupii
Kati ya kyela au mwakaleli....maana mimi mwenyewe mjanga
Niko pamoja nawe mpndwa..Jamani hizi elimu zisiwe kigezo sana cha kutafuta wachumba maana wengine hatujasoma lakini tunaupendo wa dhati mtuangalie na sisi, sasa mkioana wote mliosoma na sisi tutaoa/kuolewa na kina nani na upende usipende ambao hatujasoma sana ndo tunajua kupenda na kujali vibaya mno.
Kuna mke ambae ni sir?Nina bachelor natafuta Mke,awe madam.Apatikane mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida.
Mengine ya ziada PM tafadhari.
Samahani malafyale!!!
Mpaka nkyinja kipyaatusyege itolo,mpaka ndili mwee?
Ha haNdisi umweme...papo ngetie e id
Kudaslam mambolesi ghakajakohohoo bhakukaja ngubhaketa itoro bho mukusulusya ikya kukaja.kumyitu mmatengere.Kumambolesi
Kudaslam mambolesi ghakajako
Una majibu weye...
Hebu acheni kuongea lugha za kishamba humu,eti mbholo mbholo sijui mabholo makhuuma libholo eboooo.teh..umenfraisha san mkuu.
duh,mbna sisi hatujaongea ivo mkuu? naona umeamua tuu kutukana aseeee...aya tumekuelewa.Hebu acheni kuongea lugha za kishamba humu,eti mbholo mbholo sijui mabholo makhuuma libholo eboooo.
amna hujapotea mkuu,umo ndaniHee nimepotea njia
hahaha khangiii? mweee po aikughaghaMpaka nkyinja kipya