Elimu kidogo ya Figo!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Feb 1, 2012
5,736
4,252
IMG-20170606-WA0036.jpg
 
Hiyo #1 inanihusu sana kama hapa nimekaa mkojo umenibana ila naona uvivu kuinuka .
 
dr nikikojoa mkojo haushi Basra ya muda nikisuma unaeeza toka tena kikombe cha kahwa au nusu yake PIA NIKIMLIZA KUKOJOA MATONE UBAKIA NA UCHAFUA BOKSA UMRI 40yrs
 
PIA KUNA MDAA NAWEZA KUKAA NA MKOJO MDA MREFU WAKTI MEINGINE AUVUMILIKI SANA UWEZI HATA KUVUMILIA AU UKIFIKA CHOONI ULIKUWA KAWAIDA HPO UWEZ TENA KUVUMILIA BILA KUKOJOA
 
namba moja inanihusu hasa wakati alfajili unakuta napata uvivu kuamka kwenda toi
 
No. 1 na 2 zina athari kwa watu wa majiji kama Dar kutokana na foleni barabarani.

Aidha mtu usinywe maji kabla ya kuanza safari; au ukinywa maji uwe tayari kubana mkojo hadi ufike mwisho wa safari!
 
dr nikikojoa mkojo haushi Basra ya muda nikisuma unaeeza toka tena kikombe cha kahwa au nusu yake PIA NIKIMLIZA KUKOJOA MATONE UBAKIA NA UCHAFUA BOKSA UMRI 40yrs
Nenda hspl mapema ndugu, sikitaki kukutisha lkn hzo dalili zinafanana kwa kiasi kikubwa na dalili za tezi dume na haswa ukiangalia umri wako bt dalili ni dalili tu mpaka utakapo thibitisha
 
Back
Top Bottom