Brian Mrema
New Member
- Aug 1, 2022
- 4
- 4
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania,
Nilikuwa mwanafunzi takrinani miaka 20 nyuma na wadogo zangu wapo shule kulingana na system ya elimu ya Sasa inawaandaa wanafunzi wengi kuajiliwa na sio kujiajili hii inawaletea wanafunzi wengi haswa wale wanaomaliza kidato Cha sita au Cha nne kushindwa kuelewa jinsi gani wanatakiwa kuendana na mkiki mkiki wa maisha ya ajira baada ya kumaliza shule.
Naposema elimu kwa vitendo namaanisha system ya elimu iwaandae wanafunzi wote kujiajiri na sio kuajiriwa, hii itawasaidia wanafunzi wengi kuwa wabunifu na akili zao kutanuka na sio kuwaza kuajiliwa tu Bali kujiajili kwa kuwa kama watu wengi wakijili inasaidia kukuza level ya uchumi wa nchi yetu ya Tanzania.
Yangu ni hayo tu.
Nilikuwa mwanafunzi takrinani miaka 20 nyuma na wadogo zangu wapo shule kulingana na system ya elimu ya Sasa inawaandaa wanafunzi wengi kuajiliwa na sio kujiajili hii inawaletea wanafunzi wengi haswa wale wanaomaliza kidato Cha sita au Cha nne kushindwa kuelewa jinsi gani wanatakiwa kuendana na mkiki mkiki wa maisha ya ajira baada ya kumaliza shule.
Naposema elimu kwa vitendo namaanisha system ya elimu iwaandae wanafunzi wote kujiajiri na sio kuajiriwa, hii itawasaidia wanafunzi wengi kuwa wabunifu na akili zao kutanuka na sio kuwaza kuajiliwa tu Bali kujiajili kwa kuwa kama watu wengi wakijili inasaidia kukuza level ya uchumi wa nchi yetu ya Tanzania.
Yangu ni hayo tu.