mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Elimu ya tanzania ina ishara ya kujenga matabaka. Siku hizi shule za serikali zimebatizwa jina la Kayumba. Kuna tofauti kubwa sana ya kimtazamo na kisaikolojia kati ya wanafuzi wanaosoma English Medium na wale wa shule za Kayumba. shule nyingine ada mpaka milioni tano kwa mwaka. elimu gani inatolewa huko kuzidi hata ada ya Chuo kikuu.
pendekezo langu ni kuwa zichukuliwe hatua za makusudi kuunganisha shule zetu kwa programu mbalimbli ka ma mashindano ya michezo. taaluma na life skills. watoto wa shule za kayumba wako inferior mbele ya watoto wa English Medium kwa misngi ya kwamba wanapata huduma kwa shida sana mfano usafiri, chakula na kufundishwa na walimu wanye manung'uniko. ni vyema pia walimu wakalipwa vizuri.
katka Elimu ya juu kumeanza hii tabia ya kuita vyuo vingine vyuo vya Kata huu ni ubaguzi na dharau. Tume Ya vyuo vikuu ichunguze kama kweli kuna vyuo inaoparate chini ya viwango vipewe maelekezo.
Eimu haipaswi kujenga taswira ya matabaka na ubaguzi.
pendekezo langu ni kuwa zichukuliwe hatua za makusudi kuunganisha shule zetu kwa programu mbalimbli ka ma mashindano ya michezo. taaluma na life skills. watoto wa shule za kayumba wako inferior mbele ya watoto wa English Medium kwa misngi ya kwamba wanapata huduma kwa shida sana mfano usafiri, chakula na kufundishwa na walimu wanye manung'uniko. ni vyema pia walimu wakalipwa vizuri.
katka Elimu ya juu kumeanza hii tabia ya kuita vyuo vingine vyuo vya Kata huu ni ubaguzi na dharau. Tume Ya vyuo vikuu ichunguze kama kweli kuna vyuo inaoparate chini ya viwango vipewe maelekezo.
Eimu haipaswi kujenga taswira ya matabaka na ubaguzi.