Tanzania tunaomba mfundishe coding kwenye mashuleni na kama hatuna walimu wa kutosha tuombe msaada kwa India. Kazi nyingi zijazo hasa kwenye engineering, design, accounting ... na ubunifu utatokana na kujua coding hii ni lugha ya computer. Vilevile tuelewe 66% ya Watanzania kwasasa wapo chini ya miaka 25 ni wakati wa kuwaandaa hawa. Hapo chini message ya CEO wa Apple
Apple CEO Tim Cook: Learn to code, it's more important than English as a second language
Apple CEO Tim Cook: Learn to code, it's more important than English as a second language