reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,660
- 20,989
Kukiwa na Joto maji yanavukizwa na hatimaye kua mvuke ambao taratibu hupanda kuelekea mawinguni, huu mvuke ukishafka juu ukakutana na hali ya hewa/mawingu yaliyopoa/yenye ubaridi basi nao hupoa na kua mzito au kua katika hali ya unyevu unyevu (condensation) ambayo ndio mawingu sasa,
Kwa hiyo basi kule juu kutakua na mawingu ya aina mbili : yaliyopo juu tayari (ambayo hua mazito zaidi) na yanayopanda (ambayo yana uvugu vugu ambayo hupoa na kua mazito kadri yanavyopanda kufikia haya yaliyopoa zaidi)
UKARIBIANO kati ya haya mawingu yaliyopo kule juu (wingu zito ambalo lina hali ya matone tone ya maji) na mawingu yanayopanda (wingu jepesi ambalo bado lipo kwenye hali ya mvuke mvuke) hii itafanya sehemu ya JUU ya wingu linalopanda kua positive au negatively charged, na sehemu ya CHINI ya wingu la juu (wingu zito lenye matone matone ya maji) kua negatively au positively charged (RESPECTIVELY) kutokana na kasi ya mvutano, yaani lazima mawingu mawili yanayoshabihiana yatofautiane charge kwanza, hii hutokea through induction (charging something without direct contact, hahaaa hapa kama hujasoma static electricity lazima ukunje ndita)
Kukitokea upepo unaopita kati ya haya mawingu mawili, negative charge (lets say zipo upande wa juu wa wingu la chini/linalopanda) zitavibrate na hatimaye kufuata zile positive zilizopo upande wa chini wa wingu la juu, haraka zile negative charge zitakapogusana na positive itatokea shoti kali huku zote zikisuguana na kuvutana, za chini zikilazimishwa kuja juu na zikishakutana zitaleta shot (zitaunguzana), mvutano huu kwa kua una ukinzani mkubwa basi hutokea kwa njia ya zigzag, ambao huitwa radar kwenye physics (Ndio ule mwanga mkali unaouonaga unaokaa katika mstari ulio pinda pinda), ukiona umetokea juu haukufika chini basi ujue ni shot kati ya mawingu na mawingu (Japo muda mwingne ukinzani ukiwa mkubwa hufika mpaka ardhini), na kwa maana hiyo kitu chochote kilichopo/kinachopita kati ya yale mawingu mawili basi kitaunguzwa(ule mwanga unakua na jotoridi la nyuzi zaidi ya 30,000'C), hapa ndege haitadhurika au idhurike kidogo sana tena ni maeneo ya pale zile charge zitakapo ingilia au kutokea tu, au kwa sababu ya material mengne yaliyopo ndani ya ndege au yaliyotengenezea ndege kwa nje ambayo sio metal (lightning conductor) kusipokua na hizi kasoro basi ndege haitadhurika maana imetengenezwa kwa metal na metal ni lightning conductor
Ukiona radi imetokea ardhini(hizi ndio zile ambazo huleta maafa) ujue ni muingiliano wa positive charge za wingu la chini na negative charge za ardhi, (Hapa napo nyumba yenye lightning conductor wengi huita earth wire au vitu kama gari havitadhurika maana vina lightning conductor, au gari lidhurike kidogo kwa sababu kama zile za kwenye ndege. Ule mwanga unaouona, unashuka kufuata sehemu yoyote iliyoenda juu kuzidi wenzake mf gorofa, mti mrefu au mnara au kama ni ardhini basi hayo maeneo kuna asili ya madini yenye charge nying tofaut na zile zinazoshuka hivyo kupelekea kuvutana (Ref to the raw of eletric charge, hope form one au form two mwanzo ),
Hii process yote inaitwa LIGHTNING,
Kinachototea baada ya kuunguzana kwa hizo (+)ve & (-)ve ni kutanuka na kusinyaa haraka sana kwa chembe chembe za hewa (air molecules) hivyo kusuguana na kupasuka na matokeo yake ni ile sauti kubwa unayoisikia(Radi) thunder.
UNAWEZA UKAONGEZEA NYAMA.
Kwa hiyo basi kule juu kutakua na mawingu ya aina mbili : yaliyopo juu tayari (ambayo hua mazito zaidi) na yanayopanda (ambayo yana uvugu vugu ambayo hupoa na kua mazito kadri yanavyopanda kufikia haya yaliyopoa zaidi)
UKARIBIANO kati ya haya mawingu yaliyopo kule juu (wingu zito ambalo lina hali ya matone tone ya maji) na mawingu yanayopanda (wingu jepesi ambalo bado lipo kwenye hali ya mvuke mvuke) hii itafanya sehemu ya JUU ya wingu linalopanda kua positive au negatively charged, na sehemu ya CHINI ya wingu la juu (wingu zito lenye matone matone ya maji) kua negatively au positively charged (RESPECTIVELY) kutokana na kasi ya mvutano, yaani lazima mawingu mawili yanayoshabihiana yatofautiane charge kwanza, hii hutokea through induction (charging something without direct contact, hahaaa hapa kama hujasoma static electricity lazima ukunje ndita)
Kukitokea upepo unaopita kati ya haya mawingu mawili, negative charge (lets say zipo upande wa juu wa wingu la chini/linalopanda) zitavibrate na hatimaye kufuata zile positive zilizopo upande wa chini wa wingu la juu, haraka zile negative charge zitakapogusana na positive itatokea shoti kali huku zote zikisuguana na kuvutana, za chini zikilazimishwa kuja juu na zikishakutana zitaleta shot (zitaunguzana), mvutano huu kwa kua una ukinzani mkubwa basi hutokea kwa njia ya zigzag, ambao huitwa radar kwenye physics (Ndio ule mwanga mkali unaouonaga unaokaa katika mstari ulio pinda pinda), ukiona umetokea juu haukufika chini basi ujue ni shot kati ya mawingu na mawingu (Japo muda mwingne ukinzani ukiwa mkubwa hufika mpaka ardhini), na kwa maana hiyo kitu chochote kilichopo/kinachopita kati ya yale mawingu mawili basi kitaunguzwa(ule mwanga unakua na jotoridi la nyuzi zaidi ya 30,000'C), hapa ndege haitadhurika au idhurike kidogo sana tena ni maeneo ya pale zile charge zitakapo ingilia au kutokea tu, au kwa sababu ya material mengne yaliyopo ndani ya ndege au yaliyotengenezea ndege kwa nje ambayo sio metal (lightning conductor) kusipokua na hizi kasoro basi ndege haitadhurika maana imetengenezwa kwa metal na metal ni lightning conductor
Ukiona radi imetokea ardhini(hizi ndio zile ambazo huleta maafa) ujue ni muingiliano wa positive charge za wingu la chini na negative charge za ardhi, (Hapa napo nyumba yenye lightning conductor wengi huita earth wire au vitu kama gari havitadhurika maana vina lightning conductor, au gari lidhurike kidogo kwa sababu kama zile za kwenye ndege. Ule mwanga unaouona, unashuka kufuata sehemu yoyote iliyoenda juu kuzidi wenzake mf gorofa, mti mrefu au mnara au kama ni ardhini basi hayo maeneo kuna asili ya madini yenye charge nying tofaut na zile zinazoshuka hivyo kupelekea kuvutana (Ref to the raw of eletric charge, hope form one au form two mwanzo ),
Hii process yote inaitwa LIGHTNING,
Kinachototea baada ya kuunguzana kwa hizo (+)ve & (-)ve ni kutanuka na kusinyaa haraka sana kwa chembe chembe za hewa (air molecules) hivyo kusuguana na kupasuka na matokeo yake ni ile sauti kubwa unayoisikia(Radi) thunder.
UNAWEZA UKAONGEZEA NYAMA.