Elimu Bure: Walimu Mwanza kulipwa tsh. 2,000 kusahihisha mitihani ya Mock

Waziri wa sasa hana tofauti Ndg. Mungai nae anakurupuka tu kama ameshindwa ku manage mock nchi nzima ikafanyika kwa ustadi ataweza kumudu gharama za kusomesha sayansi darasa nzima la watoto kunzia 200. Kama hajui stopwatch tu moja ni Tshs.50,000 na kakopo kadogo kabisa ka 5g ka silver nitrate ni 100,000.

Huyu waziri uwezo wake wa kawaida kabisa kinachomtofautisha na mawaziri waliyopita ni KUSIFIWA TU bila sababu za msingi. Na malizia kwa kusema tumepata uongozi mbaya kabisa haijawahi kutokea katika nchi hii, maana uongozi huu unataka kutumikisha tu yaani umeletwa utumwa katika nchi hii.
 
TARIME hawakulipwa HATA buku, Waandaaji WA Practicals, Wasimamizi, Wasahihishaji, Wapangaji wa Matokeo WOTE wamedhulumiwa . Kweli KIKWETE tutakukumbuka daima, pumzika kwa amani MZEE wetu.
Jamani msife moyo, Mbona sisi wabeba zege tukufika pale kama kiwango hakilipi tunaondoka tu bila kulalama sana, using'ang'anie kazi isiyokulipa bana, unalalamika tuuuu kila uchao bana, chukua maamuzi bana, kazi zipo nyingi sana za kufanya bana. Sipendi mtu anaelalamikia kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake, kikubwa piganieni fao la kujitoa lieleweke, ukiona kazi haikulipi achana nayo fanya yenye maslahi nayo ikulipe.
 
Naona Kwa mbaali MITIHANI ya NECTA kusahihishwa Kwa sh100 Kwa script mana tunabana matumizi
 
Huku nilipo ni kituko zaidi, mitihani ya mock ilitumwa kwenye soft copy ili kila shule izalishe copy, wasimamie na wasahihishe wenyewe na matokeo wamtumie afisa elimu

Hapa kazi tu
 
Kwanini walimu wanadhalilishwa hivi na serikali. Hivi mwalimu afike saa moja kusahihisha mitihani mpaka saa 11 jioni alafu umlipe elfu mbili? Huyo mkurugenzi kweli ana akili zinamtosha? Bila aibu anakuja kutamka mataputapu mbele ya walezi wa watoto kitaaluma. Mimi nawashauri hao walimu wasithubutu kurudi kusahihisha hiyo mitihani. Mbona wakurugenzi wao wanajilipa miposho mikubwa, kwanini wasiwalipe walimu hivyo hivyo ili kuwapatia moyo?
 
Kweli nimeamini sisi ni mabingwa wa kupotosha kuliko kuelekeza, alieandika huu uzi haifahamu hata habari yenyewe,.Mock haitayarishwi na serikali (elimu), imetayarishwa na Umoja WA Shule za Msingi, ndio waratibu wake na ndio wanapashwa kuwalipa waalimu.Unaandika jambo hulielewi.
 
Kweli nimeamini sisi ni mabingwa wa kupotosha kuliko kuelekeza, alieandika huu uzi haifahamu hata habari yenyewe,.Mock haitayarishwi na serikali (elimu), imetayarishwa na Umoja WA Shule za Msingi, ndio waratibu wake na ndio wanapashwa kuwalipa waalimu.Unaandika jambo hulielewi.

Shule ya msingi tena ehhh we wa wapi tena, utakuwa sio wa nchi hii.
 
!
!
walimu ndio mkae kimya kabisaaaa msinitibue mie. Ninyi mlishiriki mno kwenye kuchakachua maanina zenu. Ndio Muisome sasa na ninyi. Safi sana na bado hamjachangishwa mwenge kilazima. Mfyuuu.
walimu wengi hawakumchagua ngosha na ndio mana anawakomesha
 
Kweli nimeamini sisi ni mabingwa wa kupotosha kuliko kuelekeza, alieandika huu uzi haifahamu hata habari yenyewe,.Mock haitayarishwi na serikali (elimu), imetayarishwa na Umoja WA Shule za Msingi, ndio waratibu wake na ndio wanapashwa kuwalipa waalimu.Unaandika jambo hulielewi.
Dah na wasiwasi na ELIMU yako? Labda serikali unadhani ni RAIS tu...Vipi ushawahi sikia Serikali KUU na Serikali za Mitaa? Any way sio MADA.......Ebu tujuze sie wapotoshaji hiyo Mitihani ya MOCK ilikua inaandaliwaje labda na kwa fedha za serikali au za Wanafunzi? Labda nikufahamishe kidigo MOCK wazazi/wanafunzi walikua wanachangia 15000/=,NECTA Form 4 wazazi/wanafunzi walikua wanachangia 50000/= Then serikali inaratibu taratibu za mitihani hiyo sasa unapokua hujui ELIMU BURE kila kitu kimefutwa yani wazazi wasichangie ata senti hivyo serikali kutoa hizo fedha lakini imeingia mitini uku ikitaka hiyo mitihani ifanyike kwa feza ambazo hazipo...Nadhan umeelewa japo sijui kiwango cha uelewaji ni kipi.....
 
Kweli nimeamini sisi ni mabingwa wa kupotosha kuliko kuelekeza, alieandika huu uzi haifahamu hata habari yenyewe,.Mock haitayarishwi na serikali (elimu), imetayarishwa na Umoja WA Shule za Msingi, ndio waratibu wake na ndio wanapashwa kuwalipa waalimu.Unaandika jambo hulielewi.
Hivi Umoja wa shule za msingi unaitwaje huo maana ndo nimesikia kwako? Umoja wa shule za Msingi ndo unaandaa mitihani ya sekondari? Ama kweli LIBYA ipo SYRIA
 
Back
Top Bottom