Elimu bure: ni wakati sasa wa kutamkwa kisheria, bure manake nini kwenye elimu yetu

Tairi bovu

JF-Expert Member
Sep 28, 2017
3,063
2,983
Wakuu
Rais amewaita mawaziri wake Ikulu jana na kuitangazia dunia tena kwa kushangaa ati kwa kusikia kuwa watoto na wazazi wanachangishwa michango hko mshuleni. Hadithi hizi za magufuli juu ya elimu bure hujitokeza kila shule/mihulà shule zinapofunguliwa.

Je, sio kweli kwamba panatakiwa pawe na nyaraka za kiserikali kusema bure kwenye elimu inaanzia wapi hadi wapi?

Je, ni ni sahihi Rais kuja hadharani na kuwakatza mawazir wanaokutana kila.mara kwenye baraza la mawaziri juu ya namna yanayoendlea kwenye wizara zao.

Katazo la Magufuli hapo jana lilimanosha nini kwenye utawala? Kwamba yeye ndio ana sauti ya mwisho na yote yanayoendlea tyeye ndio kiranja mkuu?

Kwamba umma ujue kila panapoenda mrama ni kwakuwa mkuu/MAGUFULI hapajaona.?

Upo wapi uwapi uwajibikaji wa pamoja?

Tujadili
 
Parapanda Italia parapanda, x2

Watoto wa Mungu watakuwa wamekwisha nyakuliwa, kwenda kumuona Bwana Yesu Mawinguniii

Ooooh haleluya
 
Nimeona mjadala kule CGTN Facebook..waafrika wanatushangaa tunavyo kenulia upuuzi Wa hawa tuliowapa dhamana..in the long run tunatengeneza kizazi jamii ya "Nkamia, Bashite & Co Ltd.
 
Wakuu
Raisi amewaita mawazir wake ikulu jana na kuitangazia dunia tena kwa kushangaa at kwa kusikia kuwa watoto na wazazi wanachangishwa michango hko mshuleni. Hadith hizi za magufuli juu ya elimu bure hujitokeza kila shule/mihulà shule zinapofunguliwa.
Je sio kweli kwamba panatakiwa pawe na nyaraka za kiserikali kusema bure kwenye elimu inaanzia wapi hadi wapi?
Je ni ni sahihi raisi kuja hadharani na kuwakatza mawazir wanaokutana kila.mara kwenye baraza la mawazir juu ya mamno yanayoendlea kwenye wizara zao
Katazo la magufuli hapo jana lilimanosha nini kwenye utawala? Kwamba yeye ndio ana sauti ya mwisho na yote yanayoendlea tyeye ndio kiranja mkuu? Kwamba umma ujue kila panapoenda mrama ni kwakuwa mkuu/MAGUFULI hapajaona.?
Upo wapi uwapi uwajibikaji wa pamoja?
Tujadili
Mkuu Tairi bovu asante sana kwa kuliona hili. Mwalimu wangu mmoja aliwahi kunifundisha kuwa ukitaka kuielewa dhana yo yote anza na "definition". Watanzania kwanza tukubaliane "Nini maana ya Elimu bure" au " Elimu bila michango". Huenda kwa siku hizi kila mtanzania au taasisi ina uelewa wake. Nakumbuka kwa sisi wahenga dhana ya "Elimu Bure" ilikuwa na uhalisia enzi za Mwalimu Nyerere. Enzi hizo ukifaulu darasa la saba unaletewa barua na Mkuu wa Wilaya ukiwa kijijini Kanyigo Bukoba halafu unasafirishwa na serikali kwa nyaraka zilikuwa zinaitwa "government warrant" mpaka unateremshwa Ifunda technical unakuta mwalimu wa zamu anakusubiri na basi la shule akiwa tayari amekwisha taarifiwa kuwa Anthony Byarugaba anakuja kuanza masomo ya sekondari hapo. Ulikuwa unaripoti shule ukiwa na mswaki tu. Je "Elimu bure au bila michango" tunataka ifanane na hii ya enzi za Nyerere? Au ni kitu kingine?
 
Mkuu Tairi bovu asante sana kwa kuliona hili. Mwalimu wangu mmoja aliwahi kunifundisha kuwa ukitaka kuielewa dhana yo yote anza na "definition". Watanzania kwanza tukubaliane "Nini maana ya Elimu bure" au " Elimu bila michango". Huenda kwa siku hizi kila mtanzania au taasisi ina uelewa wake. Nakumbuka kwa sisi wahenga dhana ya "Elimu Bure" ilikuwa na uhalisia enzi za Mwalimu Nyerere. Enzi hizo ukifaulu darasa la saba unaletewa barua na Mkuu wa Wilaya ukiwa kijijini Kanyigo Bukoba halafu unasafirishwa na serikali kwa nyaraka zilikuwa zinaitwa "government warrant" mpaka unateremshwa Ifunda technical unakuta mwalimu wa zamu anakusubiri na basi la shule akiwa tayari amekwisha taarifiwa kuwa Anthony Byarugaba anakuja kuanza masomo ya sekondari hapo. Ulikuwa unaripoti shule ukiwa na mswaki tu. Je "Elimu bure au bila michango" tunataka ifanane na hii ya enzi za Nyerere? Au ni kitu kingine?
Nimekupata sana Mkuu. Mimi nadhani sisi kama watanzania tung'ang'anie na pigia kelele watoto wetu wapewe elimu bora na siyo kung'ang'ania eti watu wachangie elimu kisa tu waafrika wenzetu wanatushangaa. Baada Elimu bure ya Mwalimu kushindikana wazazi wamekua wakilipa ada mpaka awamu hii ya tano je? Elimu iliyokua inatolewa imetusaidiaje kizazi cha walipa ada? Na je inautofauti gani na hii inayotolewa katika kizazi hiki?
 
Back
Top Bottom