Elimu bure kuchangiwa. Serikali kutoa vibari kupitia kwa ma RC

Mkuu ndipo tunaelekea huko.. Hiari baadae utaulizwa kwann hauchangii Elimu yetu kw hiari??
Kuna upungufu hapa ila kukiri hadharani ni ngumu but nina imani ipo siku ukweli utakuwa wazi khs hili suala la Elimu bure.

Kwa kweli hakuna anayekiri makosa yake. Mh raisi ingawa anajitahidi lakini kuna mapungufu ambayo inahitajina kufanyiwa kazi kwa ushirikiano.

Binafsi niko tiari kutoa
mchango ili watoto wetu wapate elimu na nina elewa sana kwamba serikali yetu bado ni ya kimaskini. Hata kama wakisema bure kama tunazo tutasaidia.

Halafu lingine inabidi kutafuta njia zingine za mapato ili shule ziweze kujiendesha. Mfano hapa Sweden shule za secondari zimegawanyika. Kuna za kilimo na mifugo, kuna za mechanical and car reconditioning n.k. kwahiyo shule zenye car mechanical au electrical wana workshop zao ambazo wanatengeneza magari za watu binafsi na wanafunzi nao wanapata kufanya practical. Mwanafunzi akisha maliza elimu ya secondari anaweza kutengenza gari au kujenga nyumba kwa tofari au mbao au anakua carpenter ingawa sio in full lakini ni rahisi kupata kajiajira. Baada ya hapi ndio mwanafunzi anaamua ajiendeleze chuo kikuu au afanye kazi kwanza angalau hata 1 or 2 years. Kwenye workshop ndio shule zinapata pia hela za kujiendeleza.
 
Arusha kulikuwa na utaratibu mzuri sana, wazazi walikubali kuchangia kiasi kidogo sana cha hela ili watoto wapate chakula cha mchana na kuendelez na masomo ya jioni kwa kuchangia shilingi mia 2 kwa siku, watoto walikuwa wanakula, wanapumzika na kuingia kujifunza somo la ziada kulingana na ratiba na kurudi nyumbani saa kumi, mtoto akitoka shule atafika nyumbani jioni anakazi za shule, muda wa kuzurura mtaani hana, loo sasa wanazurura kama kuku wa kienyeji, maana saanane wametoka wanacheza tu barabarani.
 
Kwa kweli hakuna anayekiri makosa yake. Mh raisi ingawa anajitahidi lakini kuna mapungufu ambayo inahitajina kufanyiwa kazi kwa ushirikiano.

Binafsi niko tiari kutoa
mchango ili watoto wetu wapate elimu na nina elewa sana kwamba serikali yetu bado ni ya kimaskini. Hata kama wakisema bure kama tunazo tutasaidia.

Halafu lingine inabidi kutafuta njia zingine za mapato ili shule ziweze kujiendesha. Mfano hapa Sweden shule za secondari zimegawanyika. Kuna za kilimo na mifugo, kuna za mechanical and car reconditioning n.k. kwahiyo shule zenye car mechanical au electrical wana workshop zao ambazo wanatengeneza magari za watu binafsi na wanafunzi nao wanapata kufanya practical. Mwanafunzi akisha maliza elimu ya secondari anaweza kutengenza gari au kujenga nyumba kwa tofari au mbao au anakua carpenter ingawa sio in full lakini ni rahisi kupata kajiajira. Baada ya hapi ndio mwanafunzi anaamua ajiendeleze chuo kikuu au afanye kazi kwanza angalau hata 1 or 2 years. Kwenye workshop ndio shule zinapata pia hela za kujiendeleza.
Mkuu nchi yetu tatizo ni ubinafsi, ukiangalia makampuni ya ujenzi makubwa yanayopewa tenda za ujenzi yana ubia na viongozi, ukija kwenye suala la elimu, watoto wao wanasoma shule za private zenye kila kitu kizuri elimu ya mlala hoi wataiboresha vipi?Wao wanajipanga kutawala milele ndio maana sasa hivi si ajabu kusikia kiongozi fulani kafariki, nafasi yake anapewa mtoto wake, wakati kuna watu wenye uwezo wa hizo nafasi wana achwa, mkuu unafikiri ni kweli reli imeshindikana? Viongozi wengi wana ubia na wasafirishaji hii nchi ulafi ndio unairudisha nyuma, juzi hapa waziri anapiga picha na mwanae amempeleka shule ya kimataifa inayo lipwa ghali kweli kweli, unategemea kuboreshewa elimu kina yakhe?
 
Kuna wakuu wa shule walifukuzwa kazi kwa kuomba wazazi wachangie, basi warudishwe kazini, they were right! duh mkurupuko mwingine huu, hii mizuka sijui ataishia wapi?
 
Mkuu nchi yetu tatizo ni ubinafsi, ukiangalia makampuni ya ujenzi makubwa yanayopewa tenda za ujenzi yana ubia na viongozi, ukija kwenye suala la elimu, watoto wao wanasoma shule za private zenye kila kitu kizuri elimu ya mlala hoi wataiboresha vipi?Wao wanajipanga kutawala milele ndio maana sasa hivi si ajabu kusikia kiongozi fulani kafariki, nafasi yake anapewa mtoto wake, wakati kuna watu wenye uwezo wa hizo nafasi wana achwa, mkuu unafikiri ni kweli reli imeshindikana? Viongozi wengi wana ubia na wasafirishaji hii nchi ulafi ndio unairudisha nyuma, juzi hapa waziri anapiga picha na mwanae amempeleka shule ya kimataifa inayo lipwa ghali kweli kweli, unategemea kuboreshewa elimu kina yakhe?

Hilo ndio tatizo kubwa tuliokua nalo. Tuseme ni nchi zote za kiafrika. Ni vigumu sana kupata viongozi wenye maadili na wenye uchugu na nchi na wananchi. Hata kata akitokea mmoja au wawili ujue kuna 100 watakao fanya kinyume.
 
Hilo ndio tatizo kubwa tuliokua nalo. Tuseme ni nchi zote za kiafrika. Ni vigumu sana kupata viongozi wenye maadili na wenye uchugu na nchi na wananchi. Hata kata akitokea mmoja au wawili ujue kuna 100 watakao fanya kinyume.
Nchi ina ulafi sana wa madaraka kutoka chama tawala, kama suala la umeya wa kilombero lilihatarisha maisha ya mbunge kwa kuchukuliwa na polisi ili tu akidi isitimie, suala la umeya wa jiji la Dar, limekuwa la aibu kwa kuwa ccm wameona hawawezi kupata ushindi kwa kuwa wana wajumbe wadogo, mpaka wanasingizia oda za mahakama ambazo ni fake na mwisho alitoa hiyo oda ya kuahirisha anaema nilikosea na bado hakuna hatua inayochukuliwa dhidi yao kwa kusababisha uvunjifu wa amani, badala yake wajumbe wa upinzani ndio wamepewa kesi, kama viongozi wa serikali wako tayari kuivusha nchi hapa ilipo, siasa za chuki na ubabe hazifai kabisa. DC anamtukana mbunge mbele ya wananchi kuwa anpenda sifa, wakati ni wananchi walio mchagua, kuvunjiana heshima mbele ya watu ni upuuzi mtupu, DC anajitapa nimepewa madaraka na rais, mbunge anajitapa nimepewa na wannchi walio wengi, sijaandikiwa kibarua, hivi kweli tunaelekea wapi?
 
Kwa kweli hakuna anayekiri makosa yake. Mh raisi ingawa anajitahidi lakini kuna mapungufu ambayo inahitajina kufanyiwa kazi kwa ushirikiano.

Binafsi niko tiari kutoa
mchango ili watoto wetu wapate elimu na nina elewa sana kwamba serikali yetu bado ni ya kimaskini. Hata kama wakisema bure kama tunazo tutasaidia.

Halafu lingine inabidi kutafuta njia zingine za mapato ili shule ziweze kujiendesha. Mfano hapa Sweden shule za secondari zimegawanyika. Kuna za kilimo na mifugo, kuna za mechanical and car reconditioning n.k. kwahiyo shule zenye car mechanical au electrical wana workshop zao ambazo wanatengeneza magari za watu binafsi na wanafunzi nao wanapata kufanya practical. Mwanafunzi akisha maliza elimu ya secondari anaweza kutengenza gari au kujenga nyumba kwa tofari au mbao au anakua carpenter ingawa sio in full lakini ni rahisi kupata kajiajira. Baada ya hapi ndio mwanafunzi anaamua ajiendeleze chuo kikuu au afanye kazi kwanza angalau hata 1 or 2 years. Kwenye workshop ndio shule zinapata pia hela za kujiendeleza.
Mkuu aksante kw mchango mzr na mfano wa huko Sweden.
Huku zipo hizo Technical Secondary Schools na Agriculture seconday schools but siasa kila mahali mpk huko, kila kitu kimeharibika.

Technical Secondary schools ziliwahi kuwezeshwa na kusaidiwa na DANIDA miaka ya 80s na 90s. Cjui wapi hizo schools ufanisi wake umefikia...?

Do believe humu jamvini wapo waliowahi kusoma hizo Sec schools wanaweza kuchangia zaidi kw manufaa ya Taifa khs hii hoja nzr ulioianzisha ya kuziwezesha Sec schools kuingiza kipato!

Govt ikapata wapi pa kuanzia!!
 
Bodi ya shule wataanza kupanga kila mwanakijij achangie kiasi gani then ikipita hiyo hata kama huna mtoto anayesoma utachangia tu.
 
Kwa nini wwasimuite LOWASA wamuulize yeye angefanya vipi? kuwa upinzani si uadui ila nchi hii ubinafsi wa ccm ndio unafanya mambo yasiende inavyotakiwa.
Lowasa anajua kuongea????? I am kidding!!!!
 
Hahahahah... Ccm bana, tatizo mna copy na ku paste sera za upinzani. Mmeingizwa cha kike mkaingia mazima, mmeanza na kibali maalumu cha kuchangia toka kwa Rc's. Siku si nyingi tutawasikia mkisema " Oh jamani hili suala la elimu bure tumelifanyia utafiti tumeona haliwezekani kwani UKAWA walituaminisha ndivyo sivyo.
 
Kuna wakuu wa shule walifukuzwa kazi kwa kuomba wazazi wachangie, basi warudishwe kazini, they were right! duh mkurupuko mwingine huu, hii mizuka sijui ataishia wapi?





Vipi umeanza kurudiwa na fahamu zako?Tunaisubiri serikali ya wakurupukaji iseme"poo" ndiyo jamii ikubali kuchangia Elimu,vinginevyo jamii hsitaielewa serikali yao.
 
.....Elimu ya Msingi na Sekondari kuchangia kuanzia sasa...vibali vya kuruhusu uchangiaji vitapatikana na vitatolewa na wakuu wa mikoa Tanzania nzima..' kauli ya Serekali
 
.....Elimu ya Msingi na Sekondari kuchangia kuanzia sasa...vibali vya kuruhusu uchangiaji vitapatikana na vitatolewa na wakuu wa mikoa Tanzania nzima..' kauli ya Serekali
Heee ! kumbe ile bure ilikuwa changa la macho ! sasa kule dodoma ambako wazazi wamefungulia kuzaa baada ya ya kuambiwa elimu ni bure itakuwaje ?
 
.....Elimu ya Msingi na Sekondari kuchangia kuanzia sasa...vibali vya kuruhusu uchangiaji vitapatikana na vitatolewa na wakuu wa mikoa Tanzania nzima..' kauli ya Serekali
wamesema kuchangia ni kwa hiyari kijana
hata hivyo mimi hili suala la elimu bure nalipinga sana
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom