Elikunda Materu wa EATV anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya habari

Msolo

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
2,333
2,991
Za Weekend JF,
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mtangazaji wa EATV kwa aina yake ya utangazaji, ni mmoja ya watangazaji makini sana wanaochipukia, maana wasoma habari wengi wanaoibuka kwa sasa wamekuwa wakiigana sana kwa jinsi ya kutangaza, nina amini huyu jamaa akiendelea hivyo atakuwa mtangazaji wa kuigwa katika tasnia ya habari.
Kuna makala yake ilitoka kwenye gazeti ikielezea historia yake kuwa msomi mwenye shahada ya uzamili katika ngazi ya utawala wa biashara, amekuwa akionekana katika shughuli mbalimbali za ujasiriamali.

13680828_1389420684408486_9137274868324258083_n.jpg
 
Mkuu sidhani ni sawa kuita hizi ni kick, mimi nilisoma makala inayomhusu kwenye gazeti la Mwananchi nikaanza kumfuatilia,. Tuijifunze ku-appreciate vitu vizuri.
Hata Mimi namkubali yeye Na handsome boy Godwin Mawanja Wa Tv1 Na Efm.
 
We mapensho subiri ndani ya mwaka mmoja usishangae jamaa yupo cloudstv au hata efm radio.
 
Bora ungetuletea Samson ndo ana uelewa wa kumhoji mtu wa kada yoyote.huyu matelu anasoma maandishi sasa sijakuelewa hoja yako juu ya ubora wake.
 
Bora ungetuletea Samson ndo ana uelewa wa kumhoji mtu wa kada yoyote.huyu matelu anasoma maandishi sasa sijakuelewa hoja yako juu ya ubora wake.
Anasoma maandishi vizuri, let's learn to appreciate.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom