gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,195
- 5,763
Inaonekana hata hujui chanjo inafanyaje kazi.Poor you.Alichanjwa? Si mlisema ukichanja hupati madhara?
Inaonekana hata hujui chanjo inafanyaje kazi.Poor you.Alichanjwa? Si mlisema ukichanja hupati madhara?
Hv mbowe akifa muda huu c raia watasema serikali imeua.? Je mtafurahia.?Bora wanaofurahia kifo cha mtu kuliko wale ambao wanashiriki kwa njia moja au nyingine katika kudhuru, kutesa au kuua.
chanjo haikumgusaHuyu hakupewa nini johnson
muwe mnachunguza kabla ya kukoment. hakupewa chanjo. ni moja ya mawaziri ambao hawakuwepo kwenye uzinduzi wa chanjo.Johnson ameanza kazi
RIP KWAKE. MUNGU AMREHEMU.
POLE RAIS NA WAFIWA WOTE WALIOFIKWA NA MSIBA.
Ukiwa unaumwa huwezi kupewa kingaKwa hiyo hakupewa Kinga ? Alikua wapi wenzie wakikutana na jonisoni
Nileteeni jobu,nileteeni jobu huku ahera,ndio sauti ya mwendazake imesikikaKimeumana huko tayari.
Bado jobu,mwigulu,siro hawa shetani anawapenda sanaSukuma gang tunalia .
Chanjo si wamechanja jamaniMoja ya watu waliokufa bila kashifa, mtu muungwana sana sana.
Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote.
Covid bwana haya bwana!!
Tafiti za kisayansi zinaonyesha huwezi na hurusiwi pia.Huwezi kufa au huruhusiwi kufa!
Nileteeni jobu,nileteeni jobu huku ahera,ndio sauti ya mwendazake imesikika
Watapukutika sana. Halita salia jiwe juu ya jiwe.Mbunge wa Ushetu na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias John Kwandikwa amefariki dunia leo hii wakati akipatiwa matibabu jijini Dar es Salaam...
Will it add any value?Moderator rekebisha hapo iwe breaking news
Naona inakula wasukuma tu.Delta variant?
Pole zao wafiwa.
Ni msukuma. guess what.Huyu hakupewa nini johnson
Rest in peace yodaKichwa kama boflo
Ndo kwanza nilikuwa na 4 yrs .Huyu kasoma na Uncle wangu sema walikuwa wanakuja kwetu weekends wakichoka ugali maharagwe wa Shybush. 🤣Mbona kwenye mgomo wa 1990 sikukuona?
Au ndio mliokimbilia mwambani mapema
Kile kikosi kicho mteka mwl demu kiende naye pori ulivaaje
Chanjo alikuwa bado. Hizo chanjo zimekuja yeye akiwa anaugua tayari.Uganjwa gani? isije ikawa chagamoto za kupumua wakati na chanjo alikua tayari amesha chanja