T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,102
- 4,515
Kijana yuko wapiUvico ya sasa inatafuna vijana
Kijana yuko wapiUvico ya sasa inatafuna vijana
Mbona tunaisha Mungu atasimam nasi tu R.I.P BIG BROSukuma gang tunalia .
Mi Nina wasiwasi na Air condition za yale Magari yao wanayotumia huko Serekalini!!Mbona wanaokufa wana 99% ya kujizuia wanapesa wana access ya huduma nzuri za afya? Kuna namna hapa sio hii covid mtaaani huku tunapumuliana lakini wapi
Umenena eti eeh, ngoja tu demkeKama ulikuwa Nhobhola gelisi Yeye alikuwa Shybushi pole Mama Mdenyi salimia Omurushaka...ikibidi Kaisho
Halafu hii habari ya watu kupigwa chanjo bila kupimwa corona kwanza,sijui imekaaje.Serikali ikiendelea kufanya zoezi la kudhibiti corona ni jambo la hiari mbona itakuwa noma na nusu maana utachukua wewe tahadhari 1000 hawachukui mwisho wa siku inakuwa haina maana
Ok pole kwa ndugu jamaa na marafiki pamoja na familia akeMbunge wa Ushetu na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias John Kwandikwa amefariki dunia leo hii wakati akipatiwa matibabu jijini Dar es Salaam...
Kwa hiyo hakupewa Kinga ? Alikua wapi wenzie wakikutana na jonisoniJohnson siyo dawa, ni kinga.
Acha kupotoshaJohnson ameanza kazi
RIP KWAKE. MUNGU AMREHEMU.
POLE RAIS NA WAFIWA WOTE WALIOFIKWA NA MSIBA.
Mkuu wewe ni Gwajima yupi kati ya wale wawili?Alichanjwa? Si mlisema ukichanja hupati madhara?
Uvico ya sasa inatafuna vijana
Noma sanaAisee vigogo tu huu mwaka huu na mwaka jana kuanzia term ya pili tanzania ineshuhudia vifo vya watu wazito
18-35Kijana mwisho miaka mingapi?