Elia F Michael achaguliwa kura za Maoni CHADEMA kugombea jimbo la Buyungu

Mar 3, 2018
75
799
Idadi ya wajumbe waliopiga kura;.....140

Kura zilizopigwa...140

Kura zilizoharibika....01

Mchanganuo wa kura walizopata wagombea;

1. Ashura Masoud Mashaka ..............11

2. Elia F Michael.....121

3.Gaston Shundo Garubindi................07

Leo tar 08/07/2018 chama changu kupitia Kikao cha kamati kuu kwa pamoja wamenipitisha kugombea nafasi ya Ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Buyungu. Nipende kushukuru kwa heshima hii kubwa ambayo wanachama kupitia viongozi wameona niwakilishe chama.

Lakini pia nitoe shukrani kwa chama cha ACT-WAZALENDO kupitia Kaka yangu Zitto Kabwe ambaye yeye pamoja na chama chake wameamua kuniunga mkono. Naomba niwahakikishie Wana Buyungu na wapenda Demokrasia wote kwamba nia ninayo,uwezo ninao na sababu ninazo za kusimama kwenye nafasi hii muhimu katika uwakilishi wa wananchi.

Aidha naamini wananchi wakijua wajibu wao juu ya kulinda maamuzi yao na serikali ikajua wajibu wake kwa wananchi,Buyungu haiwezi kugeuka uwanja wa damu kama ilivyokuwa Kinondoni kwasababu ya kupinga maamuzi ya wananchi ... Naimani Marehemu Kasuku Bilago anaangalia yanayoendelea Buyungu kupitia Ulimwengu wa Roho. Naendelea kumuombea kwa Mungu aendelee kumpa pumziko jema mahala pema peponi,mbegu ulioipanda Buyungu iliota haikukauka,hauko nasi kimwili ila kiroho upo na sisi.


Elia F Michael
Diwani Gwarama,
Mwenyekiti wa madiwani Kanda ya Magharibi. Mgombea wa Ubunge jimbo la Buyungu kupitia CHADEMA
08/07/2018
FB_IMG_1523170187406.jpg
 
Huyo mzee hapo pembeni hayo macho ndo yale wahenga walisema macho kumchuzi ..
 
Kweli Siasa Sio mchezo

Leo front page ya Tanzania Daima wameandika Muungano wa Chadema Na ACT Ni mwiba Mkali
Kwa CCM

CUF kishapigwa Talaka tatu rejea

ACT hii iliyokuwa inaitwa CCM B Sasa ndio mshirika muhimu wa Chadema Kuliko CUF

Mbowe Ni Muasisi wa Gia Za Angani Kuwahi kutokea Africa Mashariki Na kati
 
Kila la heri. Ingawa sidhani kama Mkurugenzi atakutangaza mshindi. Ana familia, na bado anaipenda hiyo kazi, hivyo hawezi kurisk kazi yake kwa kukutangaza.

Ingawa kwa haki kabisa unaweza kumshinda Eng. Chiza ambaye tayari kaongoza kura za maoni. Wewe kuwa diwani ni mtaji tosha
 
Idadi ya wajumbe waliopiga kura;.....140

Kura zilizopigwa...140

Kura zilizoharibika....01

Mchanganuo wa kura walizopata wagombea;

1. Ashura Masoud Mashaka ..............11

2. Elia F Michael.....121

3.Gaston Shundo Garubindi................07

Leo tar 08/07/2018 chama changu kupitia Kikao cha kamati kuu kwa pamoja wamenipitisha kugombea nafasi ya Ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Buyungu. Nipende kushukuru kwa heshima hii kubwa ambayo wanachama kupitia viongozi wameona niwakilishe chama.

Lakini pia nitoe shukrani kwa chama cha ACT-WAZALENDO kupitia Kaka yangu Zitto Kabwe ambaye yeye pamoja na chama chake wameamua kuniunga mkono. Naomba niwahakikishie Wana Buyungu na wapenda Demokrasia wote kwamba nia ninayo,uwezo ninao na sababu ninazo za kusimama kwenye nafasi hii muhimu katika uwakilishi wa wananchi.

Aidha naamini wananchi wakijua wajibu wao juu ya kulinda maamuzi yao na serikali ikajua wajibu wake kwa wananchi,Buyungu haiwezi kugeuka uwanja wa damu kama ilivyokuwa Kinondoni kwasababu ya kupinga maamuzi ya wananchi ... Naimani Marehemu Kasuku Bilago anaangalia yanayoendelea Buyungu kupitia Ulimwengu wa Roho. Naendelea kumuombea kwa Mungu aendelee kumpa pumziko jema mahala pema peponi,mbegu ulioipanda Buyungu iliota haikukauka,hauko nasi kimwili ila kiroho upo na sisi.


Elia F Michael
Diwani Gwarama,
Mwenyekiti wa madiwani Kanda ya Magharibi. Mgombea wa Ubunge jimbo la Buyungu kupitia CHADEMA
08/07/2018View attachment 805936
Cc mkafrend
 
Idadi ya wajumbe waliopiga kura;.....140

Kura zilizopigwa...140

Kura zilizoharibika....01

Mchanganuo wa kura walizopata wagombea;

1. Ashura Masoud Mashaka ..............11

2. Elia F Michael.....121

3.Gaston Shundo Garubindi................07

Leo tar 08/07/2018 chama changu kupitia Kikao cha kamati kuu kwa pamoja wamenipitisha kugombea nafasi ya Ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Buyungu. Nipende kushukuru kwa heshima hii kubwa ambayo wanachama kupitia viongozi wameona niwakilishe chama.

Lakini pia nitoe shukrani kwa chama cha ACT-WAZALENDO kupitia Kaka yangu Zitto Kabwe ambaye yeye pamoja na chama chake wameamua kuniunga mkono. Naomba niwahakikishie Wana Buyungu na wapenda Demokrasia wote kwamba nia ninayo,uwezo ninao na sababu ninazo za kusimama kwenye nafasi hii muhimu katika uwakilishi wa wananchi.

Aidha naamini wananchi wakijua wajibu wao juu ya kulinda maamuzi yao na serikali ikajua wajibu wake kwa wananchi,Buyungu haiwezi kugeuka uwanja wa damu kama ilivyokuwa Kinondoni kwasababu ya kupinga maamuzi ya wananchi ... Naimani Marehemu Kasuku Bilago anaangalia yanayoendelea Buyungu kupitia Ulimwengu wa Roho. Naendelea kumuombea kwa Mungu aendelee kumpa pumziko jema mahala pema peponi,mbegu ulioipanda Buyungu iliota haikukauka,hauko nasi kimwili ila kiroho upo na sisi.


Elia F Michael
Diwani Gwarama,
Mwenyekiti wa madiwani Kanda ya Magharibi. Mgombea wa Ubunge jimbo la Buyungu kupitia CHADEMA
08/07/2018View attachment 805936
Uongozi wa CDM umehakikishaje yale ya Kinondoni na Siha hayajirudii? Kama hakuna measures kuyakabili hayo, it is a wastage of time and resources!
Atakuja askari atabeba sanduku mnaona baada ya muda analirudisha, unafanyaje katika hali kama hiyo? Unashinda lakini anatangazwa wa CCM, unafanyaje? Salary Slip Mwanahabari Huru
 
Uongozi wa CDM umehakikishaje yale ya Kinondoni na Siha hayajirudii? Kama hakuna measures kuyakabili hayo, it is a wastage of time and resources!
Atakuja askari atabeba sanduku mnaona baada ya muda analirudisha, unafanyaje katika hali kama hiyo? Unashinda lakini anatangazwa wa CCM, unafanyaje? Salary Slip Mwanahabari Huru
Sijui kama kutakuwa na uchaguzi zaidi ya vioja vya uchaguzi!!

Tuongeze juhudi za kudai Tume Huru vinginevyo 2020 itakuwa ni majanga.
 
Kweli Siasa Sio mchezo

Leo front page ya Tanzania Daima wameandika Muungano wa Chadema Na ACT Ni mwiba Mkali
Kwa CCM

CUF kishapigwa Talaka tatu rejea

ACT hii iliyokuwa inaitwa CCM B Sasa ndio mshirika muhimu wa Chadema Kuliko CUF

Mbowe Ni Muasisi wa Gia Za Angani Kuwahi kutokea Africa Mashariki Na kati
Mwigulu aliyekuwa jembe la ccm na kila uchaguzi ndiye anayetumwa kuongoza timu ya kushinda akimridhi Tingatinga ndiye leo anaitwa Mzururaji. Au Nape aliyekuwa anaenda kulala mitaroni na Kinana kuhakikisha goli la mkono hadi akavunjika mkono ili tuu Sizonje ashinde leo ndio anatolewa bastola na vijana wa Bashite kwa vile tuu ana mburudisha Daddy!
Kweli siasa ni vituko, hata aliyekuachia ofisi kwa kulazimisha Lubuva atende ya kutenda eti leo akisema kitu unamwambia anawashwa! anawashwa nini ili umkune?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom