LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,124
- 11,114
Kati wa wabunge ambao huwa siwaelewi basi mmoja wapo ni huyu, huwa ni mtu wa kujipendekeza sana na ameweka maslahi ya tumbo lake mbele kuliko maslahi ya jimbo lake
Niliwahi kumnukuu akisema hajawahi kufanya kazi nnje ya serikalini, yaani hajawahi kutafuta ugali wake kwa kazi yoyote ya kujitegemea zaidi ya kutegemea ulaji wake kutoka serikalini
Nahisi ndio maana hata iq yake ni ndogo na ndio maana amekuwa mtumwa , haangalii maendeleo ya jimbo lake , yeye kazi yake ni kutumbua tu posho na kukopa
Mtu kama huyu akija kuikosa ile nafasi atapata presha maana maisha yake yatakuwa ni magumu na ndio maana, ni moja ya watu wasiojielewa amekuwa kama msukule unaotete tumbo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kumnukuu akisema hajawahi kufanya kazi nnje ya serikalini, yaani hajawahi kutafuta ugali wake kwa kazi yoyote ya kujitegemea zaidi ya kutegemea ulaji wake kutoka serikalini
Nahisi ndio maana hata iq yake ni ndogo na ndio maana amekuwa mtumwa , haangalii maendeleo ya jimbo lake , yeye kazi yake ni kutumbua tu posho na kukopa
Mtu kama huyu akija kuikosa ile nafasi atapata presha maana maisha yake yatakuwa ni magumu na ndio maana, ni moja ya watu wasiojielewa amekuwa kama msukule unaotete tumbo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app