kila mmoja ataonja mauti awe tajiri au maskini lakini cku ya kifo wote tunarudi mavumbini na huzikwi na chochote, umaskini na utajiri tunaviacha duniani.
Hapa duniani kuna utofauti wa kimaisha na kipato kati ya mtu na mtu lakini mbinguni binadamu wote tutakuwa sawa hakutakuwa na maskini sote tutakuwa matajiri japo inahitaji maandalizi hapahapa duniani ili kuurithi ufalme wa mbinguni, nadhani nimesomeka jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.