Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Ndugu zng wana IGUNGA kutokana na kashfa za wizi wa fedha za umma zinazomkabili aliyekua mbunge wenu R.A (CCM) na kumpelekea kujiuzulu,ss zimebaki siku chache mpige kura kumchagua kiongozi wn mpya. nawasihi sn wana Igunga mumchague KIONGOZI MWENYE UWEZO WA KUONGOZA NA ALIYE KWENYE CHAMA MAKINI chenye nia ya dhati ya kutuletea waTz maendeleo. Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi, MADINI, MITO, MAZIWA MAKUBWA, MBUGA KUBWA ZA WANYAMA, ML. MREFU AFRIKA, lkn mpaka sasa tunapotimiza miaka 50 ya uhuru bado kuna waTz wengi sana wakiwemo wana IGUNGA HAWANA UHAKIKA WA KUPATA HT MLO M1 KWA SIKU hk wakiishi kwenye NYUMBA ZA MBAVU ZA MBWA, taifa linakabiliwa na tatizo la UMEME, MAJI SAFI,MIUNDOMBINU MIBOVU, NJAA NK. Huku viongozi wa ccm akiwemo RA wakijilimbilikizia mali na kuwadhihaki waTz kwa kusema WAMETHUBUTU kutuibia, WAMEWEZA kutuibia NA WANASONGA MBELE. ELEWA KUWA CCM NA CUF nia yao ni 1 KUWANYONYA WATZ na ndo mana wakajiunga. JÃ Usirudie kosa CHAGUA CHADEMA Kwa maendeleo ya TANZANIA. MUNGU IBARIKI TZ