Elewa huu mtego kwanza ndio utajua biashara nzima ya Forex

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
6,236
15,602
Nimekuwa nikifuatilia nyuzi nyingi za watu wanaoandika ama kujinasibu wanafanya forex humu JF kwa takribani miaka 4.

Nimekuwa nikigundua falacies nyingi sana (uwongo) na upotoshaji lakini ni moja ya masuala ambayo sikuwahi kutaka kuyafungulia uzi, sababu kubwa ni kwamba wengi walionekana wameshapotoka tayar na wamepigwa upofu na tamaa kila wakisikia FOREX. Na ndio sababu kubwa ilinifanya kukaa kimya.

Binafsi, mimi nilibahatika kuijua hii kitu mapema tu nakumbuka kwa mara ya kwanza kabisa nilipokuwa mwaka wa mwisho chuo. Ever since nikawa mdau wa forex mpaka leo tunavoongea both as a trader na nimeamua kupiga hatua moja zaidi kuifahamu hii kitu kwa kuanza darasa la Masters ya Financial Engineering, sio tu kuifahamu forex bali pia kufahamu masoko mengine ya fedha kwa undani wake kama; Capital markets (stocks & bonds), Derivatives, and Short term debt & deposits.

Kwa ufupi tu cha kwanza, ieleweke kwamba trading in any financial instrument ambazo nimezitaja hapo juu in most and all cases inafanyika based on probabilities kwa sababu prices kwenye hizo instruments zina move randomly nikimaanisha kwamba movement ya price ama rate ni kitu ambacho hakuna yoyote anaweza kutabiri na kuwa sure 100%. With that regard, hakuna kitu kama get rich quick in forex or in any financial market.

Unajikuta kabisa mtu amenunua eurusd basi analazimisha lazima ipande just kwa sababu yeye amenunua, damn shit... anashindwa kufahamu price is a random variable. And this is number one thing kwanini wengi wanafeli.. How come you bet then you insist you want to be correct? (This is a random thing men)...

Nikisema hivo sikatai kwamba kuna wanaofanikiwa, mimi mwenyewe imeninufaisha kwa nyakati nyigi sana. Ila nachoweza kusema kufanikiwa kwenye hii biashara kutakuhitaji vitu viwili kwanza
1) Uvumilivu
2) Uzoefu

Hizo nilizotaja hapo ni nguzo mbili za umuhimu ambazo ndizo kwanza zitatengeneza psychology yako kuhusu trading na mambo mengine ya muhimu kama; kufanya uchambuzi yakinifu kwenye chart & candlestick, risk management na strategies.

Ni nguzo ambazo huwez kufundishwa na mtu, huwa zinakuja automatically baada ya kupitia maumivu makubwa ya hasara hata kupoteza pesa nyingi.

Wengi humu JF wamekuwa wakidanganywa na wataendelea kudanganywa na kuaminishwa kwamba Forex ni kitu kirahisi, ila uhalisia ni kwamba Forex sio rahisi kama unavofikiri, ni tasnia kui master inaweza kukuchukua years.

Kuna watu wanakaa kwenye forex mwaka mmoja and think they are already pro and gurus, bila kujua if their returns are dependent of lucky or knowledge. As i have told you, price is a random variable which means it is moving in probability.There are some cases, returns zako zitakuwa dependent on luck ni kama ku toss coin mara kumi ikakupa head in the long run the law of large number will prevail and you will also realise tail na kwa sababu of your immaturity you will be cut in pain with leverage and poor risk management and blah blah blah.. Ndo mana mpaka kesho hujawahi kuona billionaire wa Forex apart from hedge fund managers ambao they have some advantages you dont have.

Lastly, labda ntajiskia kuzidi kuwafunua kidogo kuhusu forex.. ila nnachosema ni kwamba
- Hichi kitu sio kirahisi kama mnavoaminishana humu
- This is real business, ni kweli kabisa kuna fursa kwenye forex and other financial instrument and i can testify that myself
- Knowledge first and is the key
- It can take years to master and make consistent returns independent of lucky
- Not a get rich quick scheme, in most cases utaliwa ujinga wako

Najiskia kuwahadithia vingi na vingi na vingine pia nnavovisoma darasani, will do that taratibu ila mnatakiwa kuthibitisha kwamba mentality zenu zipo sawa kupokea ntachsema maana halazimishwi mtu hapa.

Good night!
 
Ahsante kwa kuendelea kuleta elimu mkuu. Kingine, kwa mtu mwenye pesa ndogo, bora aingie huku akijua ni kwa lengo la kujifunza na kupata uzoefu ila sio kupata utajiri.
 
Ahsante kwa kuendelea kuleta elimu mkuu. Kingine, kwa mtu mwenye pesa ndogo, bora aingie huku akijua ni kwa lengo la kujifunza na kupata uzoefu ila sio kupata utajiri.
Hiyo ni moja wapo ya makosa yanayofanyika, hii shule nnayosoma imenifundisha ku track kitu kinaitwa volatility. Hapa kuna markets ambazo ziko volatile sana compare na nyingine, kwa case kama hii huwezi kuanza ku trade na capital ndogo maana with regard to randomness of price + volatility kuwa na capital ndogo kunakuweka katika risk ya kuwa blown out mapema.
 
Nilichogundua MATAPELI wengi wana Vipaji Sana Vya Ushawishi na maneno Mengi Sana,Kama Biashara inalipa na wewe umeona Mafanikio Kwanini Usiwahamasishe ndugu Zako/Ukoo Mzima nao waingie kwenye hiyo Bizness? Kama unamake million of MONEY THRU fx kwanini usiwaunge Ndugu zako/Ukoo wako nao wapige hela?
 
Nilichogundua MATAPELI wengi wana Vipaji Sana Vya Ushawishi na maneno Mengi Sana,Kama Biashara inalipa na wewe umeona Mafanikio Kwanini Usiwahamasishe ndugu Zako/Ukoo Mzima nao waingie kwenye hiyo Bizness? Kama unamake million of MONEY THRU fx kwanini usiwaunge Ndugu zako/Ukoo wako nao wapige hela?
Ndo sababu na mimi mda wote niliamua kukaa kimya.. hata na sasa naamua kuendelea hivo hivo... ushauri wangu mimi kwa watu ni huu.. "READ FOR YOURSELF"
 
Naantombe Mushi, Mkuu kwanza nikupongeze kwa elimu ila nakuhakikishia bado una safari ndefu ya kujifunzA. Mimi nina uelewa wangu wa kawaida kabisa kuhusu forex ila nimetambua kasoro nyingi za uelewa wa forex kwenye andiko lako.


Kwanza nikukatalie si kweli kabisa kuwa hakuna Billionaires Kwenye biashara ya forex, huo ni uongo na ninaomba uukanushe hapa.


Wasomi kama nyie kutoa uongo wa ain aina hii ni kutufanya sisi ambao hatujasomea haya mambo kuwadharau na kuona elimu zenu ni "Vapour". Unamfaham Geoge Soros nakuomba uingie google uangalie urajiri wake ulitokana na nini mpaka akahamia wall street U.S.A.

Sasa hapa chini nakuwekea orodha ya baadhi ya billionaires waliotokana na forex These are the most famous forex traders ever


Jambo lingine ni kuhusu Volatility. Nakubaliana na wewe kuwa during high volatility kama muda wa kuachiwa news au report za uchumi huwa ni muda wa risk kubwa sana kama market ikiwa against na wewe ila pia ni muda mzuri kama market ikiwa in your side. Nakubaliana na wewe ila ni dhambi kuacha kufanya forex kwa kuogopa volatility. Kwani mkuu unaelewa dhima nzima ya STOP LOSS????? Hakuna successful trader bila kutumia STOP LOSS iwe muda wa high or loss volatility.



Jambo lingine ambalo unadanganya watu ni kwamba Eti Uvumilivu na Psychology of trading ni vitu visivyofundishwa. Eti huwa vinakuja automatically. We mtu ni moja ya wasomi waongo na ninapata shaka na hizo elimu zenu. Unasema uvumilivu haufundishwi??
Nakutolea tu Msomi mmoja millionaire wa forex Mr Adam Khoo nenda you tube atakufundisha psychology of trading mpaka utajikataa. Wewe bado unaonekana una Greed na Fear ambazo ndio uchawi wa forex.



Hivi unajua forex ni Biashara ya Bank???? ...... Nitakuja
 
Hiyo ni moja wapo ya makosa yanayofanyika, hii shule nnayosoma imenifundisha ku track kitu kinaitwa volatility. Hapa kuna markets ambazo ziko volatile sana compare na nyingine, kwa case kama hii huwezi kuanza ku trade na capital ndogo maana with regard to randomness of price + volatility kuwa na capital ndogo kunakuweka katika risk ya kuwa blown out mapema.
Nijibu hilo swali nipime uelewa wako,


Unaposema capital ndogo ni rahisi kuunguza account during volatility , je ukiwa na capital kubwa huwezi kuunguza account during high violatility???


Halafu umalizie kwa kunipa na KAZI YA STOP LOSS
 
@Daud1990,Tatizo lako unajibu kwa utoto mwingi, as if unataka kufurahisha nafsi yako kwamba nilichoandika sicho jinsi kilivo ama sivo kama unavofahamu wewe.

Kwanza niliposema hakuna billionaire wa Forex nili wa exclude Fund managers hao wakina Soros na nimesema wazi tu sijui huwa ukisoma unaangaliaga maandishi kweli ama unakurupuka? na kwa taarifa yako, in 1992 wakati Soros anaivunja Bank of England kwenye ile hedge fund alikuwepo pia Stanley Druckenmiller billionaire mwingine huyo sema wewe naona umekariri tu..

Halafu ujue mimi Soros sijamfahamu kwa ku google nimesoma mpaka vitabu vyake 'Quantum of Finance' nenda na wewe ukaone strategieas alizokuwa akizitumia zamani ku slay the market.. Mxiuuuuu
 
Nijibu hilo swali nipime uelewa wako,


Unaposema capital ndogo ni rahisi kuunguza account during volatility , je ukiwa na capital kubwa huwezi kuunguza account during high violatility???


Halafu umalizie kwa kunipa na KAZI YA STOP LOSS
Naona unanijaribu kwa vitu visivo na maana.. Kwa hiyo uelewa wangu unaupima kwa kukuelezea volatiliy na kukueleza kazi ya stop loss?

Hiyo volatility yenyewe inaonesha huifahamu vizur.. Hizo news spikes kwanini unaziita volatility? Volatility its an annualised thing.. Huwez ukasema market ina volatility kubwa kwa siku moja kama unavomaanisha wewe..

Nahisi nikupige shule ila ntakuacha na ujinga wako
 
Tatizo lako unajibu kwa utoto mwingi, as if unataka kufurahisha nafsi yako kwamba nilichoandika sicho jinsi kilivo ama sivo kama unavofahamu wewe.

Kwanza niliposema hakuna billionaire wa Forex nili wa exclude Fund managers hao wakina Soros na nimesema wazi tu sijui huwa ukisoma unaangaliaga maandishi kweli ama unakurupuka? na kwa taarifa yako, in 1992 wakati Soros anaivunja Bank of England kwenye ile hedge fund alikuwepo pia Stanley Druckenmiller billionaire mwingine huyo sema wewe naona umekariri tu..

Halafu ujue mimi Soros sijamfahamu kwa ku google nimesoma mpaka vitabu vyake 'Quantum of Finance' nenda na wewe ukaone strategieas alizokuwa akizitumia zamani ku slay the market.. Mxiuuuuu
Desturi yangu ni moja UKIJA KISHARI NAKUJA KISHARI,UKIJA KIUPOLE NAKUJA KIUPOLE.

Sasa kwasababu umeacha hoja na kuweka mipasho kama ya Isha Mashauzi ngoja nikubutue juu kwa juu kipigo cha mbwa koko ili Maji uyaite MMA.


Hivi kwenye uzi wako kuna sehemu umemtaja Soros? Nyie ndio wanaume mahanithi haiwezekani ujitape kuwa ulitaja kitu ambacho kunzia mwanzo mpaka mwisho wa uzi wako hukutaja. Mwanaume Lijali amekuajia tayari umeanza kuloa Ute.


Sasa nimekutekenya swali dogo Nipe kazi ya Stop Loss umeanza umeanza kutokwa povu kama mama mwenyenyumba anaedaiwa hela ya vicoba. Umeulizwa lete kazi ya stop loss na kazi zake huna majibu, mwanaizaya wewe.




Umeishia kuniletea Wasifu wa George Soros wakati mwanume ninao. Ulivyokuwa huna aibu na mshipa wa soni umeshaubakiza Muhimbili ulisema hakuna Billionaires wa forex, nimekuwekea orodha ya Wakina George Soros unaleta porojo zako, Sasa niambie hao niliokuwekea kam sio forex traders ni wacheza mieleka au Pool table????.



NB. Ngoja niishie hapa sioni sababu ya kuendeleza mijadala na mtu mwenye dozi za milembe. Ila siku nyingine jitahidi kuwa na nidhamu. Sasa ninakusubiri ili uje kujibu kijinga jinga ili nikulipue mpaka ujifunze kuheshimu Hizi ID
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo
Hellow traders!
Kwa wale wanaoumizwa na makato ya benk pale unapoweka hela na kutoa kutoka kwa broker , nawashauri wamtumie huyu broker Templer FX Trader , yeye anakubali transactions kwa njia ya M-PESA means unadeposit na kuwithdraw kwa M-pesa bila kupitia Bank, hafu no makato ... Ukiwa na $50 kwa broker unahitaji kuzitoa utapokea kwa kila dola 1 thamani ya Tsh 2,230/= so piga hesabu $50 zidisha kwa 2230 utapokea Tsh 111,500/= .. Tofauti na ukipitia bank , ,, mfano bank ya FNB Ukihitaji uweke kwa broker isome $100 inabidi udeposit maxmum $125 , hapo kwa mt4 yako itaonekana $100,,, hyo inayobaki ni makato pamoja na exchange rate yao kwa siku hyo,,

Bank ya equity wanakata km Tsh 18,000/= ($8.1) kwa transaction yoyote utakayoifanya kwenda na kutoka kwa broker,,

Haya makato unaweza kuyakwepa kwa kumtumia huyu broker Templer FX Trader ambapo transactions zote utazifanya kwa njia ya M-pesa bila makato yoyote na kwa muda mfupi.
Pia minimum deposit ni $1 pia minimum withdraw ni $1 kwa M-pesa.
Hasumbui kuverify documents zako inachukua around 24hours utakuwa verified . unachohitaji kuwa nacho ni kitambulisho kimojawapo kati ya hivi (cha kura,uraia,passport, au lessen)
Unaweza kumcheck kupitia website yake hii Templer FX Trader then unaingia open account , .. Huyu ni broker mzur kwa wale wanasumbuka na mitaji , pia hata km huna akaunt bank you can trade forex bila matatizo........nipM kwa msaada na maelezo zaid
Multiple ID's ni janga humu ndani!
 
Nimekuwa nikifuatilia nyuzi nyingi za watu wanaoandika ama kujinasibu wanafanya forex humu JF kwa takribani miaka 4.

Nimekuwa nikigundua falacies nyingi sana (uwongo) na upotoshaji lakini ni moja ya masuala ambayo sikuwahi kutaka kuyafungulia uzi, sababu kubwa ni kwamba wengi walionekana wameshapotoka tayar na wamepigwa upofu na tamaa kila wakisikia FOREX. Na ndio sababu kubwa ilinifanya kukaa kimya.

Binafsi, mimi nilibahatika kuijua hii kitu mapema tu nakumbuka kwa mara ya kwanza kabisa nilipokuwa mwaka wa mwisho chuo. Ever since nikawa mdau wa forex mpaka leo tunavoongea both as a trader na nimeamua kupiga hatua moja zaidi kuifahamu hii kitu kwa kuanza darasa la Masters ya Financial Engineering, sio tu kuifahamu forex bali pia kufahamu masoko mengine ya fedha kwa undani wake kama; Capital markets (stocks & bonds), Derivatives, and Short term debt & deposits.

Kwa ufupi tu cha kwanza, ieleweke kwamba trading in any financial instrument ambazo nimezitaja hapo juu in most and all cases inafanyika based on probabilities kwa sababu prices kwenye hizo instruments zina move randomly nikimaanisha kwamba movement ya price ama rate ni kitu ambacho hakuna yoyote anaweza kutabiri na kuwa sure 100%. With that regard, hakuna kitu kama get rich quick in forex or in any financial market.

Unajikuta kabisa mtu amenunua eurusd basi analazimisha lazima ipande just kwa sababu yeye amenunua, damn shit... anashindwa kufahamu price is a random variable. And this is number one thing kwanini wengi wanafeli.. How come you bet then you insist you want to be correct? (This is a random thing men)...

Nikisema hivo sikatai kwamba kuna wanaofanikiwa, mimi mwenyewe imeninufaisha kwa nyakati nyigi sana. Ila nachoweza kusema kufanikiwa kwenye hii biashara kutakuhitaji vitu viwili kwanza
1) Uvumilivu
2) Uzoefu

Hizo nilizotaja hapo ni nguzo mbili za umuhimu ambazo ndizo kwanza zitatengeneza psychology yako kuhusu trading na mambo mengine ya muhimu kama; kufanya uchambuzi yakinifu kwenye chart & candlestick, risk management na strategies.

Ni nguzo ambazo huwez kufundishwa na mtu, huwa zinakuja automatically baada ya kupitia maumivu makubwa ya hasara hata kupoteza pesa nyingi.

Wengi humu JF wamekuwa wakidanganywa na wataendelea kudanganywa na kuaminishwa kwamba Forex ni kitu kirahisi, ila uhalisia ni kwamba Forex sio rahisi kama unavofikiri, ni tasnia kui master inaweza kukuchukua years.

Kuna watu wanakaa kwenye forex mwaka mmoja and think they are already pro and gurus, bila kujua if their returns are dependent of lucky or knowledge. As i have told you, price is a random variable which means it is moving in probability.There are some cases, returns zako zitakuwa dependent on luck ni kama ku toss coin mara kumi ikakupa head in the long run the law of large number will prevail and you will also realise tail na kwa sababu of your immaturity you will be cut in pain with leverage and poor risk management and blah blah blah.. Ndo mana mpaka kesho hujawahi kuona billionaire wa Forex apart from hedge fund managers ambao they have some advantages you dont have.

Lastly, labda ntajiskia kuzidi kuwafunua kidogo kuhusu forex.. ila nnachosema ni kwamba
- Hichi kitu sio kirahisi kama mnavoaminishana humu
- This is real business, ni kweli kabisa kuna fursa kwenye forex and other financial instrument and i can testify that myself
- Knowledge first and is the key
- It can take years to master and make consistent returns independent of lucky
- Not a get rich quick scheme, in most cases utaliwa ujinga wako

Najiskia kuwahadithia vingi na vingi na vingine pia nnavovisoma darasani, will do that taratibu ila mnatakiwa kuthibitisha kwamba mentality zenu zipo sawa kupokea ntachsema maana halazimishwi mtu hapa.

Good night!
Huna uelewa wowote pimbi wewe. Mbona siku zote hizo hukusema unasubiri leo?? Stupid kabisa
 
Hiyo ni moja wapo ya makosa yanayofanyika, hii shule nnayosoma imenifundisha ku track kitu kinaitwa volatility. Hapa kuna markets ambazo ziko volatile sana compare na nyingine, kwa case kama hii huwezi kuanza ku trade na capital ndogo maana with regard to randomness of price + volatility kuwa na capital ndogo kunakuweka katika risk ya kuwa blown out mapema.
Mna manisha nini kuwa na pesa/mtaji mdogo?? Na hiyo pesa ndogo ni kiasi gani??

Niulize tena ni kwanini uwe na uhakika kupoteza pesa unapokuwa na pesa/mtaji kidogo na kinyume chake?? Je, huo mtaji au pesa kubwa ni kiasi gani/kwa wastani??

Swali langu la mwisho; Upo uwezekano wa kujifunza Forex from scratch mpk kuwa gurus wa forex bila kuhudhuria shule za hawa matapeli km TMT na hasa kwa kutumia materials za mtandaoni???
 
Ndo sababu na mimi mda wote niliamua kukaa kimya.. hata na sasa naamua kuendelea hivo hivo... ushauri wangu mimi kwa watu ni huu.. "READ FOR YOURSELF"
@Naantombe nishauri, mimi principally huwa sifanyi kitu nisichokijua, hii kitu nimesikia sana, takribani mwaka muda unavyozidi kwenda navutiwa kuielewa, ingawa sivutii kuifanya kwanza sasa tangu jana nimeanza safari yangu kuijua forex, sitaki kujifunza sana kwa watu wanaotumia fursa km ONTARIO sababu sina pesa ya kulipia but pia naamini kuna materials nyingi.

Muda huu mdogo naona km inatawaliwa na principal za uchumi na fedha zaidi sijui km niko correct??
 
Back
Top Bottom