Electronic football substitutions board: Hivi inauzwa kiasi gani mpaka timu za Tanzania zinashindwa kununua?

Waagize China vinawezapatikana hata vya usd7-15

Alafu bongo timu na tff sio wabunifu kabisa katika kutafuta wanadhamini, mbaya zaidi unaweza kuta wote Wana mashariti magumu kwa wadhamini wanao jitokeza hatimaye kuambulia patupu. Kwa kuanzia wangekuwa wanakubali chochote kinachoweza patikana au hata bure/promotion ili kuvutia wadau na pia wadau waone faida ya kudhamini vilabu au ligi.

Tff wawe wakali kwenye kusimamia ungozi wa vilabu kuwa na nidhamu,sio timu ikipata TU udhamini kidogo basi migogoro haishi ya kufuja pesa, eg chama la wana/ stand UTD na dili la usd 1M kutoka Acacia.
 
Waagize China vinawezapatikana hata vya usd7-15

Alafu bongo timu na tff sio wabunifu kabisa katika kutafuta wanadhamini, mbaya zaidi unaweza kuta wote Wana mashariti magumu kwa wadhamini wanao jitokeza hatimaye kuambulia patupu. Kwa kuanzia wangekuwa wanakubali chochote kinachoweza patikana au hata bure/promotion ili kuvutia wadau na pia wadau waone faida ya kudhamini vilabu au ligi.

Tff wawe wakali kwenye kusimamia ungozi wa vilabu kuwa na nidhamu,sio timu ikipata TU udhamini kidogo basi migogoro haishi ya kufuja pesa, eg chama la wana/ stand UTD na dili la usd 1M kutoka Acacia.
Hata kampuni moja tu ya BETTING inaweza kununua hako kakitu na kaktumika kuwatangaza
 
Naunga mkono hoja ila sidhani kama TFF wanao utashi wa kufanya vitu kama hivi. Wangekuwa wanajitambua wangekuwa washanunua muda mrefu. Zero kabisa hawa watu.
 
Ukiachia udhamini kwani kama TFF kama msimamizi wa ligi anashindwaje kuvinunua hata vichache au AZAM akanunua cha kutuika CHAMAZI COMPLEX?
Wewe ndio nimekuelewa umetaja wa kununua kwavile wanaviwanja sasa simba wanunue au yanga wanunue halafu wakatumie wapi?
 
Kufumba na kufumbua pap kashanunuliwa,
Tarajia nani kwenda kukizindua? ...mimi nafikiri maalim sefu
Wewe je unadhani nani atafaa kwa uzinduzi.
Huyu mwana anatosha kukizindua.
EqkDFghW4AIa8Gy.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom