Electrical technician natafuta kazi

Japo swali lako halipo clear na sijakuelewa umelenga kitu gani ila nitajitahidi kulijibu kama ifuatavyo.
Ukisikia mtu ni Engineer means ana Bachelor degree in Engineering.
Ukisikia mtu ni Technician means ana Diploma in Engineering ingawa siku hizi kuna fani zingine kama pharmacy pia wanatumia hili neno Technician wakimaanisha ni mtu mwenye Diploma ya pharmacy.
Artisan ni yule fundi mwenye cheti cha Veta.
Hizi ndio common definitions za kidunia.
Lakini ukija kwenye mambo ya ajira kwenye makampuni kila kampuni ina mpangilio wake.
Usishangae siku ukiona tangazo la kazi linamuhitaji Engineer lakini elimu yake iwe ya Diploma au Wakasema wanamtaka Technician lakini elimu yake iwe Bachelors Degree,Au wakasema wanamtaka Technician lakini elimu yake iwe cheti cha veta.
Hiyo isikuchanganye ni makampuni binafsi huamua kufanya hvyo kutokana na kukwepa maslahi fulani.
Hakuna standing technician mwenye VTA tu. Kwa sababu kua Engineer au Techinian ni academic qualification. Except, VTA inaweza kua added advantage or rather an important qualification kutegemeana na job requirement na nature ya taasisi.

Pili, najua kua minimum qualification kua Engineer ni B. Degree kama ilivyo kwa minimum qualification kwa Technician ni ku hold a diploma (majoring in Engineering).

Kwa case ya Tanesco, nina marafiki (degree holders) wameajiriwa kama Technicians kwenye regional offices za Tanesco..mwaka wa tatu huu unaisha!
 
Japo swali lako halipo clear na sijakuelewa umelenga kitu gani ila nitajitahidi kulijibu kama ifuatavyo.
Ukisikia mtu ni Engineer means ana Bachelor degree in Engineering.
Ukisikia mtu ni Technician means ana Diploma in Engineering ingawa siku hizi kuna fani zingine kama pharmacy pia wanatumia hili neno Technician wakimaanisha ni mtu mwenye Diploma ya pharmacy.
Artisan ni yule fundi mwenye cheti cha Veta.
Hizi ndio common definitions za kidunia.
Lakini ukija kwenye mambo ya ajira kwenye makampuni kila kampuni ina mpangilio wake.
Usishangae siku ukiona tangazo la kazi linamuhitaji Engineer lakini elimu yake iwe ya Diploma au Wakasema wanamtaka Technician lakini elimu yake iwe Bachelors Degree,Au wakasema wanamtaka Technician lakini elimu yake iwe cheti cha veta.
Hiyo isikuchanganye ni makampuni binafsi huamua kufanya hvyo kutokana na kukwepa maslahi fulani.
Daaa hapo nimekuelewa sanaa
 
Hakuna standing technician mwenye VTA tu. Kwa sababu kua Engineer au Techinian ni academic qualification. Except, VTA inaweza kua added advantage or rather an important qualification kutegemeana na job requirement na nature ya taasisi.

Pili, najua kua minimum qualification kua Engineer ni B. Degree kama ilivyo kwa minimum qualification kwa Technician ni ku hold a diploma (majoring in Engineering).

Kwa case ya Tanesco, nina marafiki (degree holders) wameajiriwa kama Technicians kwenye regional offices za Tanesco..mwaka wa tatu huu unaisha!
Hao walikuwa na diploma & degree me Niko tanesco mkuu ukiona mtu Ni technician huku ana degree ujue aliomba kwa kutumia level ya diploma
 
Hakuna standing technician mwenye VTA tu. Kwa sababu kua Engineer au Techinian ni academic qualification. Except, VTA inaweza kua added advantage or rather an important qualification kutegemeana na job requirement na nature ya taasisi.

Pili, najua kua minimum qualification kua Engineer ni B. Degree kama ilivyo kwa minimum qualification kwa Technician ni ku hold a diploma (majoring in Engineering).

Kwa case ya Tanesco, nina marafiki (degree holders) wameajiriwa kama Technicians kwenye regional offices za Tanesco..mwaka wa tatu huu unaisha!
Soma vizuri uelewe nilichoandika inawezekana kiswahili kinasumbua.
Na kuhusu hao marafiki zako walioajiriwa kama technicians lakini ni degree holders ujue kuna kitu wamekifanya ndio kinawacost hadi leo.
Inawezekana hao rafiki zako wana vyeti viwili yaani wana vyeti vya Diploma na pia wana vyeti vya degree kwa hiyo ilipotangazwa kazi ya technicians(diploma) walitumia vyeti vyao vya Diploma na kuficha vyeti vya degree kwa lengo kwamba wakishaanza kazi ndipo waoneshe vyeti vyao vya degree kwa lengo la kupanda cheo,hii michezo ilifanyika sana miaka iliyopita ila kwa sasa hivi hairuhusiwi kuomba kazi kama upo overqualified na ikigundulika ulidanganya unaweza kushitakiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom