Nimekuwa nikifuatilia uchaguzi huu wa TZ kwa karibu, kuna jambo moja sijaelewa, je kama results ni tume tu inasoma i mean za urais, sasa nani anafuatilia kama tally iliyopatikana mkoani au wilayani ndio imesomwa? pili Returning officer wa Mkoa kwa nini asisome official results za mkoa wake?