Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
I know people have wanted to read it and see what actually is in it. Ni kwa kiasi gani sheria hii:
a. Itachochea demokrasia au kuidumaza
b. Itafanya kazi vipi wakati wa wagombea binafsi (je imetungwa ili kufanya wagombea binafsi wasifanikiwe?)
c. Adhabu zinazopendekezwa kwa mtu, taasisi au chama zinaendana na uzito wa kosa na culpability ya mkosaji?
d. Je kiasi ambacho mtu mmoja au taasisi moja inaruhusiwa kuchangia kipo na kinatosha?
e. Je kukataza michango ya kutoka nje ya nchi (kwa Watanzania wengine) hakuwanyimi Watanzania hao nafasi ya kuchangia siasa za nchi yao?
Bonyeza Hapa
a. Itachochea demokrasia au kuidumaza
b. Itafanya kazi vipi wakati wa wagombea binafsi (je imetungwa ili kufanya wagombea binafsi wasifanikiwe?)
c. Adhabu zinazopendekezwa kwa mtu, taasisi au chama zinaendana na uzito wa kosa na culpability ya mkosaji?
d. Je kiasi ambacho mtu mmoja au taasisi moja inaruhusiwa kuchangia kipo na kinatosha?
e. Je kukataza michango ya kutoka nje ya nchi (kwa Watanzania wengine) hakuwanyimi Watanzania hao nafasi ya kuchangia siasa za nchi yao?
Bonyeza Hapa