Ukitaka kujua progress ya vyama vya upinzani angalia chaguzi zilizopita utapa picha nzuri ulikotoka na inakuwa rahisi kujua unapoelekea
naamini kabisa kama kuna mtu atafanikiwa kupata matokeo yale tunaweza kupata picha nzuri sana kwamba upinzani unakubalikaje igunga?
naamini kabisa kama kuna mtu atafanikiwa kupata matokeo yale tunaweza kupata picha nzuri sana kwamba upinzani unakubalikaje igunga?