Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 189
Karibu mara mbili kwa nyakati tofauti nimesikia TBC wakimuelezea kwenye taarifa zao Lowasa kuwa ni Waziri Mkuu mstaafu. Ninachojiuliza, EL alistaafu lini huo uwaziri mkuuu zaidi ya ule aliojiuzulu?. Hebu wajuzi wa kiswahili watuambie kama maneno kujiuzulu na kustaafu yanamaanisha kitu kilekile. Isije ikawa jamaa alifungashiwa na mafao ya uPM na kwamba anaendelea kulamba kapesheni kake kiulaini. Natoa hoja