Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Mimi nakwambia MKJJ kuna utani mwingine kwenye siasa utajaujutia, very costly-just in case you thinking of becoming an active politcian! Otherwise, poa kabisa!
mnakumbuka "God Father"... hata wanaodhani wajanja wanaweza kupwa offer they can not refuse.. ni offer ambayo ukikataa utalipa! So, Bi. Senti over the weekend kanitumia ujumbe kutoka mkubwa fulani na wakasema wanipe ofa ambayo siwezi kuikataa.. now baada ya kuisikiliza ofa yenyewe nimeshindwa kuikataa jambo nimeikubali kwa machozi na kulia chonde chonde..
Ila wheelchair yangu ni ile kama ya Stephen Hawkings.. miye nimeketi tu huku mkono mmoja unafanya kazi zake..
HASARA.
Hivi ni kweli MWANA KIJIJI KANUNULIA?Kununuliwa kwake usije na wewe kuingia kwenye mkondo huo nachoona na kuweka nguvu za pamoja wana JF katika kumrudisha mwanakijiji kundini.
tuliza ball jamani, cheki haijakeshiwa......ila tuendelee na mada yenyewe. Kwanini tusiamue kuwaziria nchi..?
Rwabugiri, hayo ndiyo mawazo niliyoamka nayo leo.. sijui yataishia wapi lakini nimeamka nikiwa na hisia ya kukata tamaa, na hisia ya kuchoshwa na kujaribu kufikiri mkakati mwingine. Mkakati nilioamka nao leo ni wa kujiunga nao siyo wa mimi kubadilika.
Chonde chonde,mzee wa kijiji! Hayo mawazo yako sipingani nayo ila yana walakini kulingana na hali halisi kama ifuatavyo:
-Rejea makala ya Kitila Mkumbo CCM inavo wabadili watakatifu kuwa mashetani je utahimili vishindo?
kusuka au kunyoa
-Unless ukijiunga nao ukubali kubadilika kuwa kama wao (though I cant imagine fisadi mzee wa kijiji lol!), lakini kama utajiunganao bila kubadilika kaa tayali kupatwa na masahibu yalo wafika wapendwa wetu walio kuwa ndani bila kubadilika, Kolimba, Amina, Kombe, Mwaikambo kwa kuwataja wachache.
Watu bwana, yaani mnakubali kabisaaaa kuchukuliwa "for a ride" na hawa watu(MKJJ na Hasara). Huu ni upuuzi, wewe kwa akili zako unadhani SISIEM wanamwitaji MKJJ kundini? mtu anaepiga makelele ya CHURA toka Detroit(the hell of America).......mnapoteza energy zenu bure, yeyote anayechukulia thread hii seriously, basi ana matatizo makubwa sana huko kwa "upstairs" yake. Nafunga bakuli langu hamnioni tena kwa thread hii!!!.