Ekerege na TBS, hongera kwa mauwaji.

Sikonge

JF-Expert Member
Jan 19, 2008
11,550
6,060
Kama unamfahamu mfanyakazi yeyote wa TBS, basi inabidi ukampe HONGERA zake kwa kuwa hela wanazozipata kwa kuruhusu matairi feki ya magari, watu wanazidi kufa na kuumia.

Tunajua mmetengeneza hela nyingi sana kwa kuyaruhusu. Pia nyie wafanyabiashara mliyoyaleta, tunafahamu kuwa hamna hata huruma kwa binadamu wenzenu ila ipo siku na nyie mtalipa. Malipo ni hapahapa duniani.

 
Mods, naomba hii muiache kwanza hapa kwa uda ili hawa Wafanyabiashara na TBS wakiongozwa na huyo EKEREGE, waone jinsi watu wanavyokufa na kupata majeruhi ya milele kwa uzembe wao ukiongozwa na uroho wa Rushwa.

Hapa hujawaongelea wale wanaokufa na Kansa kwenye mahospital. Too bad.

attachment.php
 
Inasikitisha sana kuona kila siku tunapoteza ndugu zetu kutokana na uzembe wa wenzetu tuliowapa dhamana ya kutulinda. Watu wamekubuhu katika kutuhujumu mpaka wamefikia hapo, hili suala linauma sana tena sana maana kila unapoona ajali ujue hapo maskin wanaongezeka. Mtu leo alikua na nguvu(viongo) za kufanya kazi(kujitafutia chakula) lakini ikishatokea ajali anaanza kua tegemezi. Hali ni mbaya kupita kiasi na kama itaendelea hivi ipo siku watanzania wanaopoteza ndugu zao kwa uzembe wa baadhi ya wau wataihitaji vichwa vya hao watu pamoja na familia zao.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom