Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Kama unamfahamu mfanyakazi yeyote wa TBS, basi inabidi ukampe HONGERA zake kwa kuwa hela wanazozipata kwa kuruhusu matairi feki ya magari, watu wanazidi kufa na kuumia.
Tunajua mmetengeneza hela nyingi sana kwa kuyaruhusu. Pia nyie wafanyabiashara mliyoyaleta, tunafahamu kuwa hamna hata huruma kwa binadamu wenzenu ila ipo siku na nyie mtalipa. Malipo ni hapahapa duniani.
Tunajua mmetengeneza hela nyingi sana kwa kuyaruhusu. Pia nyie wafanyabiashara mliyoyaleta, tunafahamu kuwa hamna hata huruma kwa binadamu wenzenu ila ipo siku na nyie mtalipa. Malipo ni hapahapa duniani.