Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Baba Ubaya

Senior Member
Jun 24, 2008
127
19
Nini tatizo la hasa kwa wale wanahikumaliza wakati wa kufanya tendo la ndoa?

Kwa wale mnaofahamu tufahamisheni

==========
Baadhi ya majibu:
Unajuwa kumwaga au kutokumwaga is a psychological thing na hutegemea kwa mtu na mtu. Kiwastani, mwanamke inabidi alainishwe kitandani kama vile kumshika shika na unatakiwa ujuwe hisia zake ziko vipi kutokana na utundu wako.

Bahati mbaya wanaume wengi kitu kama hiki hawakijuwi, mzee akisimama tu atataka ajipigie haraka aondoke aende kwa mwingine wakati huyu uliyepiga hujamfikisha kileleni hata robo.

Kuja katika jibu lako; kawaida mwanaume anafikia kilele anapojisikia. Yes, anapojisikia. Kumbukeni, kuna wanaume wengine wanatomba lakini hawamwagi shahawa kutokana na udhaifu wao au la wanakuwa hawana experience na wanakuwa hawajuwi namna ya kuji control ili wafike kileleni. Utakuta mtu dizaini hii ni mwepesi kwa kusifia demu baada ya shughuli pevu kitandani kuwa ame enjoy ile mbaya na kumwagia demu misifa kibao kuwa ni mtamu hajapata ona maishani mwake wakati ni uongo mtupu. Na demu yule yule akiondoka jamaa anawahi bafuni kujikrimu (masturbation).

Vijana wengi washuka/wapanda mnazi (masturbation people) huwa hawachelewi kumwaga shahawa wanapokuwa faragha kujikrimu na imaginary girl friends zao, ila inawachukua muda saana kumwaga shahawa pale wanapokutana kimwili na mwanamke. Japo wengi siku hizi wanaogopa magonjwa na kuchukua njia ya mkato ya mkono lakini kwa kweli kushuka mnazi kuna madhara yake psychologically, na ndiyo kama haya.

Pamoja na kwamba ejaculation ni response ya mwili baada ya stimulation kufikia threshold, lakini pia ni namna ya mwili kusave energy.

Kwa maana hiyo, kama una hypoglycemia (upungufu wa glucoce kwenye damu), ujue mwili mwili utaharakisha ejaculation ili usave glucose. Ndio maana watu wanaofanya mazoezi kwao hili sio tatizo sana. Ndio maana siku umekula vizuri (ugali is the best), dakika zinaongezeka). Ndio maana baadhi ya watu wanakula biscuits za glucose au wanalamba glucose yenyewe kabla na baada ya kila bao, ili kuongeza glucose mwilini.

Haya ya nyakula yatakuwa na mchango mdogo sana kama miili yetu haina uwezo wa kutoa glucose inayohifadhiwa kwenye maini (glycogen) na haraka kuibadilisha na kuitumia kama kutoa energy. Hakuna namna nyingine ya kuuwezesha mwili wako kuwa efficient kugenerate energy, zaidi ya kufanya mazoezi.

Conclusion; Kuwa mtu wa mazoezi. Mwanzoni itakufanya usipate kabisa ashki, but baada ya kama wiki 2 (haijalishi iwe umepunguza uzito au la, cha muhimu mwili uwe flexible and efficient) utaona jinsi utakavyokuwa good performer.

Mi huwa nasumbuliwa na tatizo kama la kwako, hasa pale ninapobanwa na makazi na masafari, nikajikuta nimeacha mazoezi. Wiki tatu tu za kutokufanya mazoezi hufanya performance yangu kushuka zaidi ya 50%.

Ikishindikana kwa mazoezi, waone wamasai. Mkuyati unasaidia (kama una tatizo).

Hilo ni tatizo kama goli zote inakua dakika chache. ila goli la kwanza ni lazima uzimike mapema.

Nadhani watu wameweka standars za mahaba so high kiasi kwamba wanaume wangi wanajikuta below standards wakati it is just normal. Do you know the average sexual intercourse is only 2 min 54 seconds (goal la kwanza)?

Sasa kabla hujapewa msaada please reassess your performance and let us know kama uko chini sana ya hapo.

Kumbuka, prematurity is not a matter of how long you hold on before you come, but whether you are able to control the way you do na zaidi whether she is happy that you come at that time (My own definition)

Causes of premature ejaculation are often psychological in nature:

1. Early childhood experiences which provoked fear of discovery during masturbation, for example might still be causing trouble.

2. Encountering a particularly negative family attitude towards sex during your childhood may cause you to "rush" to complete sexual activity because you feel it is "dirty" or not permitted.

3. Impotence, while itself often a treatable physical condition, may create a feeling of need to "get it done" before you lose your erection.

4. Problems and worries about health, money, relationships, or any sort of stress in your life, may trigger an event or series of events.

5. As hinted at above, negative reactions from a sexual partner can also precipitate the problem in what would otherwise be a normally happy, sexually fulfilled male.

As can be imagined, once the event has occurred, it is not unrealistic to imagine it becoming so focused upon by the man that it becomes a self-fulfilling prophecy, no matter what its cause or its intensity or frequency.

The other main causes of premature ejaculation are certain medications, but these are rare. It's treatable!
 
Jamani JF Doctors

Hili suala la Premature ejaculation na sectual dysfunction naona kama ni kitu ambacho kina wakumba watu wengi sana haswa wanaume kwasasa...!

Nimekua nikiangalia most of the threads huwa watu wanajaribu kuomba ushauri kuhusu suala hili, sasa basi ili kukata mzizi wa fitna, naomba Dactari mmoja ajitolee kutuendeshea hii mada na ikiwezekana atupe medical treatment ya matatizo haya ili kuonokana na frequent posting on the same subject...!
 
Hee inawezekana hili tatizo kila mtu analo harafu hakuna tiba...toka post imetumwa hakuna mjuzi mmoja aliye jibu hoja....

Ni tatizo kwa wanaume wengi...unasikia unaulizwa jana ulichoka sana mbona unaniacha njiani...(unamaliza mapema...)ka swali haka kanaumiza ila sasa utafanyaje?

Ndio maana wengi wanajaribu tumia konyagi..wengine wana fall kwenye janga Viagra...the worse one.

Please mwenye ideal about how to come late..pls.

Am out
 
Hivi inakuaje mwanamume unafanya tendo la ndoa, msisimko na kufikia kilele kama kawaida. Lakini mbegu wala maji maji yanayoambatana na mbegu hayatoki kabisa. Yaani hata tone moja halitoki, achilia mbali kuonyesha angalau dalili kwamba kuna chochote kilijaribu kutoka. Njia inaonekana kavu kabisa.
Naomba msaada. Umri wa mwanaume ni miaka 50.
 
Hivi inakuaje mwanamume unafanya tendo la ndoa, msisimko na kufikia kilele kama kawaida. Lakini mbegu wala maji maji yanayoambatana na mbegu hayatoki kabisa. Yaani hata tone moja halitoki, achilia mbali kuonyesha angalau dalili kwamba kuna chochote kilijaribu kutoka. Njia inaonekana kavu kabisa.
Naomba msaada. Umri wa mwanaume ni miaka 50.


tayari out of form! 50 years ejeculation ya nini? Tena iwapo unajisikia sawa sawa kwenye tendo.
 
Muone doctor akusaidie, Umri huo si sababu ya muhusika kushindwa kukojoa. Something is wrong somewhere.
 
Bubu, I mean at this age, what do you need ejaculation for? As long as you have all the pleasures, that is it.

Give me your reasons why do you think at that age a man does not need ejaculation?
 
Duh! kisima kimekauka! mkuu punyeto zilizidi nini? hahahahaha.
 
Hivi inakuaje mwanamume unafanya tendo la ndoa, msisimko na kufikia kilele kama kawaida. Lakini mbegu wala maji maji yanayoambatana na mbegu hayatoki kabisa. Yaani hata tone moja halitoki, achilia mbali kuonyesha angalau dalili kwamba kuna chochote kilijaribu kutoka. Njia inaonekana kavu kabisa.
Naomba msaada. Umri wa mwanaume ni miaka 50.

Nafikiri kamuone Daktari akupe ushauri,

1. huenda lishe yako duni, na spermatogenesis(uzalishaji wa mbegu za kiume) unakuwa affected.

2. vas deferens ( thin muscular tube which transports sperm from the
epididymis to the urethra) utakuwa ama umeziba au umekatika na kufanya
sperm zisitoke nje



Kwa undani zaidi kuhusu viuongo vyako vya uzazi bofya hapa chini http://kidshealth.org/misc/movie/bodybasics/male_repro.html
 
Give me your reasons why do you think at that age a man does not need ejaculation?

What is ejaculation anyway? It an act of release sperms by a man (of course a male). This action is meant for reproduction in most animals, except in humans and dolphins where it acts also as a pleasure mechanism during courtship or masterbation.

The fact that this man experiences pleasure during sex act there is no cause for concern in missing ejaculation. At that age would you need children?! Where have you all along been in your life? Life expectancy of Tanzanians is about 50 ( I am not sure with recent development) and there having a kid at that age will be an act of injustice. A kid will mis a 100% fatherly care (babu care) and will hardly reach form four before you are pronounce .... a late Mr.....
 
Nafikiri kamuone Daktari akupe ushauri,

1. huenda lishe yako duni, na spermatogenesis(uzalishaji wa mbegu za kiume) unakuwa affected.

2. vas deferens ( thin muscular tube which transports sperm from the
epididymis to the urethra) utakuwa ama umeziba au umekatika na kufanya
sperm zisitoke nje



Kwa undani zaidi kuhusu viuongo vyako vya uzazi bofya hapa chini http://kidshealth.org/misc/movie/bodybasics/male_repro.html

Hofstede: Be careful. If vas deferens is blocked, or whatever, in one way or another, where are the sperms then? Because they being produced and have to go out!
 
Hofstede: Be careful. If vas deferens is blocked, or whatever, in one way or another, where are the sperms then? Because they being produced and have to go out!

Mwanjelwa
Soma post yangu yote nimesema huyu bwana akamuone Doctor amshauri na mimi nikatoa two posibilities hapo juu. Sasa kama sperms zinakuwa produced na hakuna tatizo kwa nini zisitoke?, hapo ni kwamba huenda hazitengenezwi kabisa au njia ya kuzitoa ina matatizo.

Ni vipimo vya kitabibu tu ndivyo vinaweza eleza huyu bwana ana tatizo gani na si malumbano ya hapa JF. Hapa sisi ni kumshauri na kumpa possibilities ili aone uzito wa tatizo na kufanyia utafiti wa kisayansi (Kumuona Daktari) mapema kabla tatizo halijawa out of control.
 
Last edited:
The fact that this man experiences pleasure during sex act there is no cause for concern in missing ejaculation.

There must a big concern if this person had no previous problem of ejaculation and that is why he must see a doctor asap.
 
Back
Top Bottom