zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,261
- 3,909
Tafuta bakora, kabla ya kuanza hiyo shughuli mwache huyo binti akuchape kisawa sawa, yaani viboko haswa vya makalioni, hiyo ndio dawa ya kwetu pwani, tena asikuonee huruma, akutandike mpaka alama za mijeledi zikutoke makalioni, ukisikia kulia usijizuie, we lia tu, baada ya hapo anza kula ngoma, hiyo ndio mwisho wa matatizo...