MAHENDEKA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2010
- 308
- 153
- Thread starter
- #81
Kwa hio black holes zilikua ni nadharia tu ya einstein ?Nadharia inaonyesha ukiweza survive kutokea upande wa pili ni utakuwa umerudi nyuma ya muda!..
Tatizo hakujawahi onekana black hole za kujaribu till last week!.. ingawa black hole ni kuzaliwa na kufa kwa sayari.
Ina maana dunia ndo imeshuhudia black hole kwa mara ya kwanza katika historia toka einstein aseme kwenye nadharia zake ?