Einstein theories of relativity..Mambo magumu kuelezea

MAHENDEKA

JF-Expert Member
Jul 9, 2010
306
152
Wakuu mimi ni mdau wa mambo ya sayansi lakini nikiri katika vitu nimetumia muda mrefu kuvielewa bila mafanikio basi ni hii kitu inaitwa relativity theories za huyu jamaa anaitwa Einstein

Ukianza na mambo ya muda kupotea kadri spidi inavyoongezeka..mambo ya singularity( hata sijui ni kitu gani)

Kiujumla waga ninatafuta maelezo ya hii kitu theory of relativity kwa maelezo mepesi ntayoweza kuelewa ila duh nmekwama aisee

Najua kuna wajuzi wa haya mambo hapa tusaidiane kuifafanua hii

Kuna mahala nmesoma kua muda sio constant and people can travel to the future / can travel back time or out of time

Vitu gani hivi aisee
Kama kuna muvi inaelezea vitu hivi kirahisi nisaidieni

Aksante



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Relativity theories hasa inaongelea maswala ya time travel kwenye space ni kwamba kunauwezekana wakusafiri au kufika mahali ambapo kwa speed ya vyombo vya kawaida kama rocket ni ngumu sana kufika huko kutokana na speed yake. Kwa mfano hii galaxy yetu ya milk way hipo karibu sana na dunia lakini kuna galaxy kama Andromeda Galaxy ambayo ipo mbali sana na dunia lakini pia ndo galaxy ambayo ipo karibu na milk way galaxy nyota ambazo zipo kwenye Andromeda Galaxy zinatumia 2.537 million years mwanga wake kufika duniani kwaiyo ningumu sana mwanga wake kufika duniani sasa hiyo relativity theories inajaribu ku calculate kitu ambacho kitakuwa na uwezo wa kusafiri kwa speed kama mwanga au zaidi ili kuweza kufika maeneo ambayo yapo mbali zaidi na dunia yetu hii kama kwenye Andromeda Galaxy
 
Wakuu mimi ni mdau wa mambo ya sayansi lakini nikiri katika vitu nimetumia muda mrefu kuvielewa bila mafanikio basi ni hii kitu inaitwa relativity theories za huyu jamaa anaitwa Einstein

Ukianza na mambo ya muda kupotea kadri spidi inavyoongezeka..mambo ya singularity( hata sijui ni kitu gani)

Kiujumla waga ninatafuta maelezo ya hii kitu theory of relativity kwa maelezo mepesi ntayoweza kuelewa ila duh nmekwama aisee

Najua kuna wajuzi wa haya mambo hapa tusaidiane kuifafanua hii

Kuna mahala nmesoma kua muda sio constant and people can travel to the future / can travel back time or out of time

Vitu gani hivi aisee
Kama kuna muvi inaelezea vitu hivi kirahisi nisaidieni

Aksante



Sent using Jamii Forums mobile app

haya mambo ni magumu sana. Nami yamenichanganya muda mrfu nikaamua kuyaacha!
 
Einstein hakuwahi kukubali kwamba unaweza kusafiri nyuma ya muda na aliwahi kulipinga hili sana tu.ila alisema tunaweza kusafiri kwenda mbele ya muda kama tutaweza kutumia chombo chenye spidi zaidi ya mwanga .
Na mpaka leo hii chombo chenye spidi kubwa ni zaidi ya spidi ya sauti.so MPAKA SASA TIME TRAVEL ITABAKI KUWA THEORY TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi ni mdau wa mambo ya sayansi lakini nikiri katika vitu nimetumia muda mrefu kuvielewa bila mafanikio basi ni hii kitu inaitwa relativity theories za huyu jamaa anaitwa Einstein

Ukianza na mambo ya muda kupotea kadri spidi inavyoongezeka..mambo ya singularity( hata sijui ni kitu gani)

Kiujumla waga ninatafuta maelezo ya hii kitu theory of relativity kwa maelezo mepesi ntayoweza kuelewa ila duh nmekwama aisee

Najua kuna wajuzi wa haya mambo hapa tusaidiane kuifafanua hii

Kuna mahala nmesoma kua muda sio constant and people can travel to the future / can travel back time or out of time

Vitu gani hivi aisee
Kama kuna muvi inaelezea vitu hivi kirahisi nisaidieni

Aksante



Sent using Jamii Forums mobile app


search: minutephysics - YouTube, unaweza kupata mwanga kidogo.
 
Relativity theories hasa inaongelea maswala ya time travel kwenye space ni kwamba kunauwezekana wakusafiri au kufika mahali ambapo kwa speed ya vyombo vya kawaida kama rocket ni ngumu sana kufika huko kutokana na speed yake. Kwa mfano hii galaxy yetu ya milk way hipo karibu sana na dunia lakini kuna galaxy kama Andromeda Galaxy ambayo ipo mbali sana na dunia lakini pia ndo galaxy ambayo ipo karibu na milk way galaxy nyota ambazo zipo kwenye Andromeda Galaxy zinatumia 2.537 million years mwanga wake kufika duniani kwaiyo ningumu sana mwanga wake kufika duniani sasa hiyo relativity theories inajaribu ku calculate kitu ambacho kitakuwa na uwezo wa kusafiri kwa speed kama mwanga au zaidi ili kuweza kufika maeneo ambayo yapo mbali zaidi na dunia yetu hii kama kwenye Andromeda Galaxy
Baba uko deep sana
 
mkuu fuatilia ile habari ya black space images zilizotolewa jana kuna maelezo pia ya mambo ya relativity nilisoma zaidi ya mara 5 niliambulia kitu kidogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata wewe mtoa mada umekiri kutoelewa. Mimi binafsi nimeelewa ila kuelezea simply sasa ndo kazi.
Jaribu kuangalia movie ya Interstellar kwa umakini mkubwa utapata mwanga kidogo.
Pia jaribu kupitia youtube kuna informative videos nyingi zipo simple na zinatumia animation.
 
Relativity theories hasa inaongelea maswala ya time travel kwenye space ni kwamba kunauwezekana wakusafiri au kufika mahali ambapo kwa speed ya vyombo vya kawaida kama rocket ni ngumu sana kufika huko kutokana na speed yake. Kwa mfano hii galaxy yetu ya milk way hipo karibu sana na dunia lakini kuna galaxy kama Andromeda Galaxy ambayo ipo mbali sana na dunia lakini pia ndo galaxy ambayo ipo karibu na milk way galaxy nyota ambazo zipo kwenye Andromeda Galaxy zinatumia 2.537 million years mwanga wake kufika duniani kwaiyo ningumu sana mwanga wake kufika duniani sasa hiyo relativity theories inajaribu ku calculate kitu ambacho kitakuwa na uwezo wa kusafiri kwa speed kama mwanga au zaidi ili kuweza kufika maeneo ambayo yapo mbali zaidi na dunia yetu hii kama kwenye Andromeda Galaxy
Kuna amri ya kumi na moja inasema
"Thou shalt not travel faster than the speed of light."
Yaani kwa ufupi hakuna chochote kwenye universe kinachoweza kusafiri fasta zaidi ya mwanga. Ikiwemo miili yetu ambayo ita haribika.
Hiyo option haipo.
Iliyopo ni kubend space time kutengeneza wormhole huko baadaye.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom