Einstein, newton or liebnitz

Loyal_Merchant

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
623
267
Katika sayansi watajwa hapo juu wanahesabika kwamba wana mchango mkubwa. Tukianza na NEWTON anajulikana sana uvumbuzi wa laws of motions na pia wengi wanafahamu kuwa amegundua hesabu ikiwamo calculus. Tukija kwa EINSTEIN, yeye anajulikana kwa theory of relativity pamoja na equation of life and death i.e E=MC^2. Ndo aliepelekea kwa kiwango kikubwa uendelezwaji wa nuclear and material physics. Na mwisho ni LIEBNITZ, huyu alikuwa mathematician na ndo inasemekana newton aliiba documents zake zlzokuwa znazungumzia uvumbuz wa calculus ikiwamo line, double and triple intergral na kwamba newton aliiba tu na kuwah kupublish idea. Na ikumbukwe calculus unaweza sema ndo back bone ya science coz almost vi2 vngi ktk sayansi vnategemea uwepo wake either kuviprove au kuvidevelop. So nan unadhan anadeserve kuwa best scientist of all time.? Je unadhan kuna mwngne zaid ya watajwa anaestahili?
 
Einstein alikuwa wa ukweli zaidi, ndie mvumbuzi wa sayari ya pluto! Jamaa aliona mbali sana, kiasi aliitwa mzushi. Pia akili ziliongezeka kadri alivokaribia uzeeni.
 
nimekuwa nikifuatilia midaharo mingi kuhusu WHO IS DA BEST SCIENTIST IN DA WORLD kila watu wanataja anaye mwona anafaa, but nilikuja gundua kwamba kuwa mvutano mwingine ktk makubaliano ya nani anastahili unakwamishwa na UTAIFA, cz kila TAIFA LINAMTAJA MTU WAKE KUWA THE BEST, bt mm huwa nakosa wa kumpa kura coz wote wamefanya mambo mpaka leo dunia inayaheshimu
 
Hii kitu uwezi kusema kuwa nani ndio the best of best...!

Ebu angalieni Misri ya kale, Bebylon, China, Maya, Rome, India... Uko kote kulikuwa na wataalam wakubwa wakubwa... Chungulieni hizo nchi kisha semeni walifikia wapi kiutaalam.
 
Katika sayansi watajwa hapo juu wanahesabika kwamba wana mchango mkubwa. Tukianza na NEWTON anajulikana sana uvumbuzi wa laws of motions na pia wengi wanafahamu kuwa amegundua hesabu ikiwamo calculus. Tukija kwa EINSTEIN, yeye anajulikana kwa theory of relativity pamoja na equation of life and death i.e E=MC^2. Ndo aliepelekea kwa kiwango kikubwa uendelezwaji wa nuclear and material physics. Na mwisho ni LIEBNITZ, huyu alikuwa mathematician na ndo inasemekana newton aliiba documents zake zlzokuwa znazungumzia uvumbuz wa calculus ikiwamo line, double and triple intergral na kwamba newton aliiba tu na kuwah kupublish idea. Na ikumbukwe calculus unaweza sema ndo back bone ya science coz almost vi2 vngi ktk sayansi vnategemea uwepo wake either kuviprove au kuvidevelop. So nan unadhan anadeserve kuwa best scientist of all time.? Je unadhan kuna mwngne zaid ya watajwa anaestahili?

Kiukweli in real sense of science ...hoja haziwezi kwenda kihivyooo ... BUT as long as we are social beings ... Kunakuwa just favorites kushabikia ..and the like

Mimi Best all the time ....ni Einsten

Mwingine ni huyu ... Gravity Driven Universe
 
nimekuwa nikifuatilia midaharo mingi kuhusu WHO IS DA BEST SCIENTIST IN DA WORLD kila watu wanataja anaye mwona anafaa, but nilikuja gundua kwamba kuwa mvutano mwingine ktk makubaliano ya nani anastahili unakwamishwa na UTAIFA, cz kila TAIFA LINAMTAJA MTU WAKE KUWA THE BEST, bt mm huwa nakosa wa kumpa kura coz wote wamefanya mambo mpaka leo dunia inayaheshimu
<br />
<br />
hapo nakuunga mkono. Kila mmoa ameplay part yake ktk kufanikisha science ifike hapa ilipo. Wote ni best.
 
Uh ! Einstein ameibadilisha dunia kabisa , na bado theory zake hazijawekwa in application to the fullest , soon tutatoka from a digital world to Quantum world
 
Uh ! Einstein ameibadilisha dunia kabisa , na bado theory zake hazijawekwa in application to the fullest , soon tutatoka from a digital world to Quantum world
<br />
<br />
ebu nielezee about quantum world coz nimejaribu google nkasoma but yan cjaelewa kaka
 
My Opinion...

One thing that is unique to Einstein contribution as compared to other scientist is that, his work covered both classical "mechanical" physics and quantum physics (modern physics)...In classical physics Einstein improved Newton's laws by showing (through special relativity) that they are merely an approximation of a more fundamental laws of nature. Einstein also changed our notion of space-time and gravity through his general relativity theory. In modern - quantum physics, Einstein showed that light exist in discrete units by using Planck's concept of black body radiation to describe photoelectric effect. By the way, photoelectric effect is the fundamental principal behind solar panel battery system. Classical physics and Modern (Quantum) physics both describes our nature in a very different way. Einstein's contribution to the development of the two puts him in a special place among the rest.

But it should be mentioned that...unfortunately Einstein was overwhelmed by the indeterminacy of Quantum Mechanics, as suggested by his famous quote: "god does not play dice". Because of that, Einstein did not accept many premises of Quantum mechanics. In fact, some physicists have claimed that if Einstein had died in 1925 he would have been just as famous as when he died in 1955 ...because he was left behind by the development of the new physics of the small...quantum mechanics. However, this does not diminish his greatness, of course...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom