Efraim Kibonde na mradi wa Lowassa

Butundwe

JF-Expert Member
Dec 27, 2013
303
52
Anadai keshaanza mchakamchaka na baadae ataeleza zaidi msikilize kwenye jahazi
 
Kaahidiwa ukuu wa wilaya kwa kuanzia then msemaji wa rais wa ndoto na safari yenye miiba, milima na watu vibonde!
 
Jamaa huwa anamishe na kiu ya kupewa "ukuu wa wilaya"ndo maana anashadadia sana!

Division zero form six ndio apewe ukuu wa wilaya. ndo maana nchi haitapiga hatua. Kibonde hana world outlook kabisa. yaani hata waziri mkuu wa Uganda hamjui
 
Division zero form six ndio apewe ukuu wa wilaya. ndo maana nchi haitapiga hatua. Kibonde hana world outlook kabisa. yaani hata waziri mkuu wa Uganda hamjui

Si kama MBOWE TU?? na Divisheni ziro yake mbn anaongoza chadema???
 
Si kama MBOWE TU?? na Divisheni ziro yake mbn anaongoza chadema???

soma alama za nyakati. CDM kuna Phd ya Slaa. masters za ZZK. LISU. MNYIKA. Dada Wa Kawe Mdee. listi ni ndefu. hizo degree za kwanza ndio usipime. ccm mmekosa dira mpaka maji marefu mnamuona msomi kwa kuitwa prof.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom