Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
Kipindi cha michezo cha Efm kile cha asubuhi kimejaa porojo na matangazo mengi mengi hasa ya kamali.
Kipindi kinaanza saa 3 :00 lakini habari ya kwanza inaanza kusikika baada ya DK 20 huku wakitangaza matangazo tuuu na kupiga masingeli.
Hivi kwanini matangazo yasiwe machache kwakuwa kuna vipindi vingine?
Huyu Kitenge anaruka kutoka nje ya nchi inamaanisha nini kwetu sisi wasikilizaji?
NI HAYO TUU
Kipindi kinaanza saa 3 :00 lakini habari ya kwanza inaanza kusikika baada ya DK 20 huku wakitangaza matangazo tuuu na kupiga masingeli.
Hivi kwanini matangazo yasiwe machache kwakuwa kuna vipindi vingine?
Huyu Kitenge anaruka kutoka nje ya nchi inamaanisha nini kwetu sisi wasikilizaji?
NI HAYO TUU