Efd mwanza mgomo wa wafanyabiashara waingia siku ya pili:-

bluecolour

JF-Expert Member
May 20, 2013
201
98
Huku Kukiwa Na Onyo La Mamlaka Ya Mapato Nchini TRA, Mgomo Wa Kupinga Matumizi Na Bei Ya Mashine Hizo Leo Umeingia Cku Ya Pili Baada Ya Kuanza Rasmi Jana... Wananchi Na Wafanyabiasha Wa Kutoka Mikoa Jirani Na Nchi Jirani Wakwama Kupata Huduma Ya Bidhaa Mbalimbali... Katika Cku Yake Ya Pili Leo Mgomo Umependeza Zaidi Maana Wamepata Kuungwa Mkono Na Wafanyabiasha Wenzao Wa Vyakula Wa Soko Kuu Ambao Jana Hawakugoma..! Hali Ni Tete Huduma Hakuna Mjini... Meneja Mkuu Wa TRA Akihojiwa Na Vyombo Vya Habari Alisema "Iwe Icwe Lazima Wafanyabiashara Wanunue Na Kutumia Mashne Hizo Na Wanachofanya Sasa Ni Kupoteza Muda" (cjui Yeye Ni Nani Nchn Mpaka Atoe Maneno Kama Hayo Wakati Wakulisemea Hilo Ni Waziri Wa Fedha & Uchumi) Na Wafanyabiashara Kwa Upande Wao Wanasema Hawatafungua Maduka Mpaka Kieleweke Mimi Yangu Macho & Masikio...
 
Kimsingi uzalendo wa kulipa kodi umetuishia kabisa sisi Watanganyika, hii ni kwasababu hatuoni faida ya kodi yetu kimsingi. Ulipe kodi, kesho wabunge wanajiongezea mishahara, lipa kodi waziri ananunua mansion ya 900,000 U$D kwa ajili ya hawala yake, unategemea nini? Tusiangalie tulipoangukia bali tuangalie tulipojikwaa watanganyika!!!!
 
kimsingi uzalendo wa kulipa kodi umetuishia kabisa sisi watanganyika, hii ni kwasababu hatuoni faida ya kodi yetu kimsingi. Ulipe kodi, kesho wabunge wanajiongezea mishahara, lipa kodi waziri ananunua mansion ya 900,000 u$d kwa ajili ya hawala yake, unategemea nini? Tusiangalie tulipoangukia bali tuangalie tulipojikwaa watanganyika!!!!

kweli kaka yani inauma walalahoi tunalipa kodi wabunge mishahara juu.. Alafu wananchi badala ya kuunga mkono mgomo wao wanaupinga wakati wao ndio walaji wa mwisho... Tuungane kwa pamoja kupinga utapeli huu wa serikali dhidi ya raia wake...
 
Back
Top Bottom