Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
i am so desperate, ndio nimekuja hapa JF, in hurry, fury, angry, pain, aaaaaahhhhhh yaani CCM, juzi wametuibia kura ya kipenzi chetu Dr. Slaa. hata watu hawajakaa sawa kwa maumivu, wamemtakasa Chenge, kuwania uspika, yaani hapa ndio mjue hili jinamizi litatumaliza, hata haya hamna, tena basi TAKUKURU inasema Chenge SAFIIIIIIIIII, wait a minute, i am dreaming, hay baby please nipe maji fast plse, ok, nipo sawa sasa, na JK as usual anaangalia tu, ww JK acha utani na maisha yetu, plse, acha, hivi Mungu huyu kila day namuomba yuko wapi..!!?? FIsadi kuwa speaker...!!!?? TAKUKURU ...!!!??? eeehh, plse those who love our country lay down ur comments,