Eeeeh mungu nisamehe

Pearl

JF-Expert Member
Nov 25, 2009
3,036
309
Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu
 
Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu
saba mara sabini ameen,lol sikujua kama we mtaalamu wa maswala haya.
 
Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu


As a christian you have to remember where we came from so that we can understand where people are today. So don’t have the attitude that you don’t like kuchangia mawazo yake tena you as a christian na unajua kuwa hukuwa perfect at time i would suggest you Help that person. Be honest with him/her. Help him/her become better. This is your job as a Christian.
 
Najua mm ni mtenda dhambi,tena umesema tuwasamehe na kuwaombea,kln Mungu kuna mtu ananikwaza sana Hapa Jf,kwann kila mara anakuwa tofauti na mawazo ya wenzie?Mungu najua sisi sote ni mfano wako tena umesema tutakuwa vichwa na wala si mkia,mbn yy anakuwa mkia?kwakweli sitaki hata kuchangia mawazo yake tena na wala sitaki hata kugombana nae naomba uniepushe nae maana ulisema tuikimbie dhambi hata kwa miguu yetu,nitajitahidi kumkwepa maana nisipofanya hivyo atanikwaza sana.Ameen
Je na ww anakukwaza?unafanyaje?muombee tu
He JF kuna mambo,.MY DEAR JIFUNZE KUAGREE TO DISAGREE mara nyingine tunamsumbua tu MUNGU kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wetu.
 
My dia kutokana na hiyo sla hapo juu utamjua tu,si tuliambiwa tutawatambua kwa matendo yao?

I guess ni kaka Akili Kichwani!!!! twin correct me if am wrong....
 
Dogo challenges ni kitu cha kawaida kabisa..
maudhi na yale yote tulisiyapenda yatukute ni challenges ambazo inabidi tuzikabili.
Jaribisha Furahia maudhi yake...
hakika atajiona hastahili kukufanyia ubaya anao kufanyia na mtakuwa sawa kabisa.
 
May be!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mmmh I don't know!!!!!!!!!!! Can be someone else!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
true uncle
Dogo challenges ni kitu cha kawaida kabisa..
maudhi na yale yote tulisiyapenda yatukute ni challenges ambazo inabidi tuzikabili.
Jaribisha Furahia maudhi yake...
hakika atajiona hastahili kukufanyia ubaya anao kufanyia na mtakuwa sawa kabisa.
 
JF ni mathink tanks

think tank, hail them as "one of the main policy actors in democratic societies ..., assuring a pluralistic, open and accountable process of policy analysis, research, decision-making and evaluation

Kama kuna mtu hapa jf ankukwaza kwa sababu ana tafautiana na mawazo yako, basi wewe ustahili kuwepo jf, nenda kwanza kaombewe dhambi zako ndio urudi

jf nisehemu ya openly discussion, kupanuana mawazo, sio sehemu ya kukwazana wala sisehemu ya dhambi bali ni sehemu ya kuvumiliana na kuelimishana.
 
As a christian you have to remember where we came from so that we can understand where people are today. So don’t have the attitude that you don’t like kuchangia mawazo yake tena you as a christian na unajua kuwa hukuwa perfect at time i would suggest you Help that person. Be honest with him/her. Help him/her become better. This is your job as a Christian.

nimekupenda sana kwa maoni haya.

muulize kuwa yeye na BF/dume lake wakifanana nani ataumbuka kubeba kitambaa???????????

ajitoe JF, inaonekana haiwezi, akakue kwanza huyo dogo
 
JF ni mathink tanks

think tank, hail them as "one of the main policy actors in democratic societies ..., assuring a pluralistic, open and accountable process of policy analysis, research, decision-making and evaluation

Kama kuna mtu hapa jf ankukwaza kwa sababu ana tafautiana na mawazo yako, basi wewe ustahili kuwepo jf, nenda kwanza kaombewe dhambi zako ndio urudi

jf nisehemu ya openly discussion, kupanuana mawazo, sio sehemu ya kukwazana wala sisehemu ya dhambi bali ni sehemu ya kuvumiliana na kuelimishana.

yep,
akafute kwanza maziwa ya mamaye mdomoni, inaonekana bado kinda ........
 
true uncle
twin JF TUPO WATU KIBAO WA AINA TOFAUTI SI RAHISI KUIVA NA KILA MTU. KUTOFAUTIANA HAPA IS INEVITABLE!!!! WEE HUYO MMOJA TU.......

WALA USIJALI HAYA MAMBO YA KWAIDA SANA KWENYE JAMII YOYOTE ILE HATA YA MTANDAONI!!!
 
thx love
twin JF TUPO WATU KIBAO WA AINA TOFAUTI SI RAHISI KUIVA NA KILA MTU. KUTOFAUTIANA HAPA IS INEVITABLE!!!! WEE HUYO MMOJA TU.......

WALA USIJALI HAYA MAMBO YA KWAIDA SANA KWENYE JAMII YOYOTE ILE HATA YA MTANDAONI!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom