The Analyst
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 464
- 246
Naomba sana sana kwa Mwenyezi Mungu CHADEMA ishinde, maana hayo ndiyo matokeo yatakayoifanya serikali ya CCM ianze kuwekeza katika kuwahudumia wananchi zaidi kuliko kujitajirisha kama wanavyofanya sasa. Nasikitika kwamba mpaka sasa inaonekana mafisadi wanaendelea kutesa kutokana na mtaji wao wa kugawa fedha na baadhi yetu kuwa damudamu na kijani.
Nguvu waliyoitumia CCM katika kampeni ina dalili zote za kifisadi (yaani lazima wachukue jimbo hilo kwa gharama zozote ili kuuonesha ulimwengu kwamba pamoja na kusifika kwa ufisadi bado wanapendwa sana na wadanganyika).
Mungu Ibariki Tanzania!
Mungu Wabariki wote wenye nia ya dhati ya kuikomboa nchi yetu.
Nguvu waliyoitumia CCM katika kampeni ina dalili zote za kifisadi (yaani lazima wachukue jimbo hilo kwa gharama zozote ili kuuonesha ulimwengu kwamba pamoja na kusifika kwa ufisadi bado wanapendwa sana na wadanganyika).
Mungu Ibariki Tanzania!
Mungu Wabariki wote wenye nia ya dhati ya kuikomboa nchi yetu.