Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Mungu mtakatifu, mwenye mamlaka yote, uliyeumba vitu vyote,vinavyoonekana na visivyooneka,.. Tazama Tanzania yako uliyoibariki,tangu siku za mwanzo za uhuru wake,kwa kuipa kiongozi aliyekuheshimu na kukuogopa wewe Mungu. Nchi yako imevamiwa na kutu,viwavi,dumadu,nzige,wevi,matapeli,mafisadi,na watu wasiokuheshimu wala kukuogopa. Nakuomba kwajili ya urithi na mali ya watz wote,inayochotwa na wajanja kuwahi, RA,JK,EL, NM,EC,IM, na wengine wote waovu, uilinde na uwapatilize uovu kuanzia kizazi chao cha kwanza hadi cha nne.. Wote tuseme.... Amen