Mchumiajuone
Member
- Dec 15, 2016
- 66
- 33
Angalau nimepata kumfahamu Snowden
Daaaamn!Nilivyokuwa nimejiandaa kwa hii ligi ni Mungu tu anajua.
Hata hivyo naona hoja zinapishana,evidence hakuna basi vurugu tupu.
Anyways... As always,am proud of you bae
Hii kali kabisa kumbe inawezekana kabisa CIA wamemtrain kuwa aende Rusia akajifanye anakandia Marekani wakati huo anafanya udukuzi Rusia na kupeleka Marekani.Na inaelekea habari atazipata kilaini maaana wanamuamini kuwa yeye ni mtu wao sasa dah haya mambo ya uspy kiboko mtu anaweza kujifanya mpaka kichaaa mla uchafu kabisa lakini kumbe ni bonge la shushushu tena lenye mcheo mkubwa.
Ila huyu Snowden mwisho ataishia kuwa double agent labda na hata hao wanaonunua habari kutoka kwake kama Ujerumani nakadhalika sidhani kama wanamfurahia maana wanajua alishawadukua mataifa yote makubwa hivyo anawajua kama wako uchi.
Jamaaa lina miakili extra dah ila ndio atakuwa amefundishwa jinsi ya kujificha kukwepa adui anaposmell fish kwa hiyo atakuwa anaishi kwa machale balaaa.
Lakini nimegundua hizi laptop hizi hasa za mashirika ya kimataifa ambazo zinafanyiwa setup huko huko majuu wewe ukifungua tu unaanza kupiga mzigo mhhhh nazo ni mma nyingine zinatumika mno mno kupata taarifa za pahala fulani ulipo.
Mwanangu wewe huwa unaamini katika vitu direct kabisa sijui kwanini..tafuta series moja ya mtu mmoja wa kuitwa kiefer sutherland au ukipenda anaitwa jack bauer..movie inaitwa DESIGNATES SURVIVOR..ukiangalia hiyo movie kuna sehemu baada ya jamaa kuwa rais alikuwa anapata upinzani kutoka kwa senator fulani kwamba senator huyo alikuwa anadai hamtambui jamaa kama raisi..akatumwa dada fulani aende lakini kabla hajatoka airport ndege yake ikazingirwa na wanajeshi wakimtaka yule dada arudi washington kwamba senator hataki kusikia lolote kutoka D.C..raisi akaamua amwambie yule dada arudi lakini yule dada akamwambia raisi amruhusu kwamba ana plan yake inaweza ikamfanya akarudi na senator D.C....raisi akamruhusu BASI YULE DADA AKAMPIGIA SIMU JAMAA FULANI ANA ASILI KAMA YA KIARABU KWAMBA ALIANZISHE..UNAAMBIWE HAIKUPITA HATA MUDA LIKATOKEA BONGE LA KUNDI LA WATU BARABARANI WAKIANDANA KWAMBA SENATOR ANAKANDAMIZA WANANCHI...kwahiyo nachotala kukwambia hapo mkuu ni kwamba sio kwa sababu wapakistani waliandamana kupinga kwanini viongozi wao wamewaruhusu wamarekani kuingia na kumchukua osama basi ndo ina justify kwamba basi osama aliuliwa hapana..kumbuka jamaa wakitaka kutengeneza conspiracy lazima watengeneze kitu ambacho kitaonekana ni kweli katika kila nyanja na hata ikitokea ni kidogo sana ndo unaweza kupata kasoro fulani fulani ambazo kama hizi ambazo bwana ONTARIO kazisema..crime scene yeyote lazima iache maswali mzee..kwahiyo posibility ya hao wapakistani kuwa maandamano yao yalikuwa engineered kwajili ya kuja kuzika fikra kama zako ni kubwa pia mkuu..
am out
kwa ile kauli ya kulaumu "udukuzi" inawezekana jamàa snowden kafanya mambo yake.Currently
Snowden kasaidia trumph kushinda marekani?
The bold help me
Wakimaliza kazi yao wanaomba msamaha na kupatana kama kawaida yao, wakichukulia faida ya udhaifu wa mataifa juu yao ili mradi lengo lao kubwa limetimiaSwali la kufikirisha... Je US wapo tayari kuharibu uhusiano wao na mataifa makubwa ili kufanikisha spy mmoja aweze kuidukua Urusi?
Snowden namfuatilia saana na twitter namfuatilia daily na kwenye blog yke
Snowden anaamini kwenye privacy na NSA walikuwa wana monitor watu wote waishio USA simu zao na wa nje ya nchi,snowden jambo lile alikuwa analichukia ndio akavujisha siri kwa RAIA na alivujisha siri pia NSA walikuwa wanawa spy viongozi wakubwa wa nchi
Yaani CIA warisk uhusiano wao na Germany, France nk ili snowden wamtumie urusi??haingii akilini
Kama unamfuatilia snowden basi utajua anachopigania ni privacy kwa watu
Bila yy watu wasingejua
-Tails
-Qubes
-whoinex
Na njia zingine za kujilinda
Ndio maana wananchi wa usa wanamuona shujaa kwa kuwapa siri na namna wanavyochunguzwa
Naamini 100% snowden siyo double agent ni mpiganaji wa freedom of speech
Saizi serikali ya Obama inalaumiwa sana na mwenendo wake wa kuchunguza RAIA..ss CIA wamtumie snowden kudhoofisha na kuleta chuki baina ya serikali yake na wananchi!?
Pia snowden yupo chini ya supervision ya kgb hotelininchipy ataufanya vp?