KWAKUA Mh Lowasa ameonyesha ana hamu kubwa sana ya kua Rais wa nchi hii kwani pamoja na Mwalimu Nyerere kutishia kurudisha kadi yake No. 1 ya CCM mwaka 1995,iwapo Lowasa angeteuliwa kua Rais kwani akiwa kijana mdogo tu wa miaka 42 alikua na utajiri mkubwa mno uliopatikana isivyo halali, Lowasa ameendelea na jitihada hizo waziwazi na kwa kasi kubwa sana
NA
KWAKUA Mh Lowasa katika kuhakikisha PIGA UA GARAGAZA lazma anatinga Magogoni mwaka 2015, ameanza kutumia fedha nyingi mno ambazo hatimaye zimemwezesha kujaza watu wake kwenye jumuia za CCM ili kumrahisishia kubeba bendera ya chama chake 2015
NA
KWAKUA Mh Lowasa amekua akizunguka nchi nzima kuendesha mambo ya fund raising za kuwezesha ujenzi wa shule, makanisa na misikiti ikiwa ni njia nyingine ya kujiweka karibu na wananchi wengi iwezekanavyo
NA
KWAKUA licha ya afya yake kua mgogoro hadi anaenda mara kwa mara Ujerumani ambako daima anadai ni macho tu ndio yanamsumbua ingawa kuna wambea wanadai eti ana stroke upande wake wa kushoto(sijui hawa wambea wameambiwa na DR wake!), lakini Lowasa ameonyesha kupangamikakati lukuki ya kumfikisha Magogoni kwa nguvu moja na ari moja
NA
KWAKUA WANAJAMIIFORUM karibu 99% wameonyesha wanamkubali Lowasa kuliko hata Dr Slaa,Zito au Lipumba kua RAIS WA TZ 2015
HIVYOBASI badala ya CCM kupoteza hela nyingi za kuandaa vikao vya kumchagua mgombea Urais na badala ya vyama vyote vya upinzani makini kama Chadema na vingine Mburura kama CUF kupoteza hela na kumweka mgombea wao na pia badala ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa kutumia pesa nyingi bila sababu wakati watanzania KARIBU WOTE wanamtaka Lowasa awe Rais wao NAPENDEKEZA Mh Lowasa APITE BILA KUPINGWA
Great Thinkers, imekaaje hii?
NA
KWAKUA Mh Lowasa katika kuhakikisha PIGA UA GARAGAZA lazma anatinga Magogoni mwaka 2015, ameanza kutumia fedha nyingi mno ambazo hatimaye zimemwezesha kujaza watu wake kwenye jumuia za CCM ili kumrahisishia kubeba bendera ya chama chake 2015
NA
KWAKUA Mh Lowasa amekua akizunguka nchi nzima kuendesha mambo ya fund raising za kuwezesha ujenzi wa shule, makanisa na misikiti ikiwa ni njia nyingine ya kujiweka karibu na wananchi wengi iwezekanavyo
NA
KWAKUA licha ya afya yake kua mgogoro hadi anaenda mara kwa mara Ujerumani ambako daima anadai ni macho tu ndio yanamsumbua ingawa kuna wambea wanadai eti ana stroke upande wake wa kushoto(sijui hawa wambea wameambiwa na DR wake!), lakini Lowasa ameonyesha kupangamikakati lukuki ya kumfikisha Magogoni kwa nguvu moja na ari moja
NA
KWAKUA WANAJAMIIFORUM karibu 99% wameonyesha wanamkubali Lowasa kuliko hata Dr Slaa,Zito au Lipumba kua RAIS WA TZ 2015
HIVYOBASI badala ya CCM kupoteza hela nyingi za kuandaa vikao vya kumchagua mgombea Urais na badala ya vyama vyote vya upinzani makini kama Chadema na vingine Mburura kama CUF kupoteza hela na kumweka mgombea wao na pia badala ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa kutumia pesa nyingi bila sababu wakati watanzania KARIBU WOTE wanamtaka Lowasa awe Rais wao NAPENDEKEZA Mh Lowasa APITE BILA KUPINGWA
Great Thinkers, imekaaje hii?