Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,497
- 17,372
Nadhani atasikia na kwenda fasterNape kama ana akili , huu ni wakati wake muafaka kukimbia na kwenda kumuomba msamaha Edward; asipofanya hivyo laana ya Lowassa itamuandama hadi kaburini!!!
Nadhani atasikia na kwenda fasterNape kama ana akili , huu ni wakati wake muafaka kukimbia na kwenda kumuomba msamaha Edward; asipofanya hivyo laana ya Lowassa itamuandama hadi kaburini!!!
Acha roho ya chuki na choyo🤔.Huyu huyu aliyekuwa labelled fisadi na wale jamaa halafu akawa mgombea urais..?
Kabisa Mkuu. Tena ikizingatiwa kwa sasa nimemuweka suspect kichwani kwangu kwa matukio mawili makubwa. Hafai Yule anakuchekea unafiki huku anakuua. Ndiyo kifimbocheza wetu kwa sasa. Mission accomplished 😊😊😊😊Mnafiki Sana yule jamaa,EL atakua hataki hata kumsikia.
Hahah Mimi sijawahi kumkubali kabisa mkuu.Huyo sio wa kumuamini hata kwa sekunde 1.Ni Chui kwny vazi la kondoo Huyo.Kabisa Mkuu. Tena ikizingatiwa kwa sasa nimemuweka suspect kichwani kwangu kwa matukio mawili makubwa. Hafai Yule anakuchekea unafiki huku anakuua. Ndiyo kifimbocheza wetu kwa sasa. Mission accomplished 😊😊😊😊
Tangu lini Tahiti akawa na kinyongo maskini?Apone upesi mzee asiye na kinyongo na visasi
MCHAWI Mkubwa weweNamtakia apone haraka Mzee Huyu mwenye busara ZAKE
USSR
Don't forget Penina.Wishing the man a good recovery.
One for Fred, Mama Regina and the fam during this hard time.
We! We! We! Alikwenda kwa Ben ikawa ndiyo mwisho wa mchezo. Asubiri kwanza bhana. Wako ambao watatangulia, neno la nabii Rolinga ni kwamba...Nami ninasubiri kwa hamu Sana JK aende. Unafiki mtupu
Get well soon,ila wabongo ni kama hamjui,hamfuatilii mambo duniani.Mzee wa: Kipaumbele namba moja, Elimu, mamba mbili Elimu, namba tatu Elimu. Get well soon!
Dah.Don't forget Penina.
Dah.
Nikimuona hata sijui kama nitamkumbuka tena. Miaka mingi sana.
Bado yuko ICU?! Sijamsikia kitambo.Namtakia apone haraka Mzee Huyu mwenye busara ZAKE
USSR
Kuna mtu kasema kafa?!Mbna huyu mzee mnamchuria kifo na hafi mnaa maana gani