thereitis
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 297
- 41
Nilibahatika kufika Monduli wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Engutoto. Niligundua mambo kadha wa kadha wa kadha ambayo yanafanywa na EL kwa kushirikiana na wapambe wake kama ifuatavyo:
Source vijiweni Monduli.
- Kwamba EL hupokea taarifa za umbea kuhusu watu wanaodaiwa kutokumuunga mkono kkt harakati zake za siasa kutoka kwa wapambe wake
- EL akishapokea taarifa hizo huwashughulikia watuhumiwa(wasiomuunga mkono) kwa namna mbaimbali kama vile:
- Kuwaamuru wenye nyumba kuwafukuza mahasimu wake kutoka ktk nyumba zao walikopanga
- kama mtuhumiwa ni mfanyakazi wa serikali huhamishiwa kituo kingine ambako ni porini au hata kubambikizwa kesi ya uwongo
Source vijiweni Monduli.