WOMANOFSUBSTANCE
Umedai kwamba Lowasa ni mtu mmoja tu hivyo hana nguvu. Ukweli ni kwamba huyu bwana ni hatari mno kama ulivyojionea mwenyewe kwenye chaguzi za ccm ametapanya fedha zake chafu nchi nzima na kuweka watu wake kwenye jumuia zote za chama. Ebu jiulize mtu kutumia hela zote hizo mfuko wake ni mpana kiasi gani? Amezipata wapi>? Atazilipaje? Mwenzenu kapiga hesabu kagundua wacha atumie tu hizo pesa ila akikaa Magogoni na kwakua tumegundua oil and gas hela zooote zitarudi ndani ya wiki moja. Hivi kweli watanzania tumekua kenge wa kusujudia jitu jizi eti lituongoze? Kweli??? Ukosoma The Guardian la leo kuna watu wamepiga dili wakasafirisha meno ya 2.4 Bilioni. Basi kwa upumbavu wa watu humu hao wahusika mtataka waje kutuongozxa simply because wana mkwanja! NO WAY!
Sasa hujaanielewa kivipi?? He is pure MMERU as per your own definition!!!
MAWENZI
Lowasa ni MMASAI au MMERU? Mbona kwenye CV ameandika yeye ni MMASAI? Kama kweli ni Mmeru lakini anadai ye MMASAI nini lengo la kufanya hivyo?
Naona wewe ndio hujui kinachozungumziwa hapa kwani umesema humjui LOWASSA na hujui amebakiza cheo gani hapo january 2013 alichokigaramikia akikikosa ni kwaheri Keko inamsubiriKwanza nikurekebishe id yangu ni naninibaraka na siyo nononobaraka,la pili JF ni sehemu ambayo members hutoa maoni yao freely lkn isiwe kigezo cha kupakana matope kutokana na misukumo ya mtu,join date yako tu kama JF MEMBER ina describe the type of a person ur,la msingi jenga hoja za msingi hata aliyekutuma afurahie alichokutuma na siyo kutokwa na povu hovyo...si mtetei lowassa wala simjui lkn the whole ccm is corrupt,even aliyekutuma ni corrupt kwa taarifa,siku si nyingi utamjua aliekutuma vizur
Lowassa siyo Mmeru pure kwasababu mmojawapo wa wazazi wake ni Mmasai!