Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
nashangaa watu wanaomtetea lowasa,wakat tume ya bunge iliyoundwa ikiongozwa na mwakyembe kuchunguza richmond,walisema lowasa anausika na richmond na ilikuwa kampun feki pia walikuwa wakijizolea million 152 kwa siku,nyie mnababaika na misaada mnayopewa makanisan na misikitin wakat hizo ni pesa zenu wanyonge ,karagabaoooooooo